Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
😆 mafuta sikioni ya nn tena mzee mwenzangu?Mwambie ajitafakari mara70 hakuna Hela ya mwanaume ukapewa Bure hivivi. Watu wanatembea na mafuta sikioni oohooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆 mafuta sikioni ya nn tena mzee mwenzangu?Mwambie ajitafakari mara70 hakuna Hela ya mwanaume ukapewa Bure hivivi. Watu wanatembea na mafuta sikioni oohooooo
Wanasema kilainishi Cha ngozi mkuu😆 mafuta sikioni ya nn tena mzee mwenzangu?
Mbona mapema mapema sana jana umeenda kupiga jalamba kijana? ushaamka au ndo hoi?Nimemtumia namba yangu pm atanichekii...usku mwema naenda kuukukalia😊🍆
Kwa hiyo jamaa akabebe Samwel sio?
Good morning 😁😁Mbona mapema mapema sana jana umeenda kupiga jalamba kijana? ushaamka au ndo hoi?
Sawa mkuu.nenda iringa ukifika tu pale ilula mtuwa uliza nataka kwenda kwa makanyaga watakuelekeza
Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa..inasaidia nini kwa mfu..leten konekshen tujitose ,, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe..
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mchakato wa kufika huko tafadhaliBadala ya kupita hiyo njia fanya uende Luxembourg tu
Sawa.Mzee ukipata na mimi nishitue
Hapo vijana wana pesa ndefu kwa biashara ya nyanya na viazi tu, ipo namna si bure.nenda iringa ukifika tu pale ilula mtuwa uliza nataka kwenda kwa makanyaga watakuelekeza
Alimradi pesa ..mengine yanabaki kwenye mabanoHapo vijana wana pesa ndefu kwa biashara ya nyanya na viazi tu, ipo namna si bure.