Hayo ya sharing ni mdomoni tu kwa lizzy tutaonana wabaya na watu kibao.
Unajua majiko mengine makubwa sana kama yale ya kwenye sherehe au msiba kwahiyo unahitaji miiko miwili au zaidi lolKama huo mwiko wa kupikia hilo jiko utapikia kwenye jiko moja, utampata.
Njoo chukua la kwangu la mchina ila usisahau kupita kwa mangi na chupa ya maftataa, miye cku hiz sipiki
Ndoto za mchana hizo ndugu la peke yako??? Wapi?? Bongo, Moro,AR, MZA, MBY nk unacheza makida kwenye nyaya za umeme
ndio maana natamani urudi jukwaa la siasa!!!!!!!