Wewe kutwa kujichatisha na bwana ako humu ushauri uutolee wap.πππnitaje basi mkuu huyo mdada nimimi
huyo bwana ninae sasaππkataa ndoa wakike ndomimi sasaWewe kutwa kujichatisha na bwana ako humu ushauri uutolee wap.πππ
Komaeni wakuu apate anachostahili.Tukuachie au na sisi tukomae?
Kwa nini unakataa ndoa ?huyo bwana ninae sasaππkataa ndoa wakike ndomimi sasa
Hao sisiem kama watakua wanafanya hivyo watakua wamekosa kazi za kufanya.Kama mtakuwa makini mtaona kuna ID nyingi zimejiunga karibuni zikisema zinatafuta mwanaume huu uzi wa pili nauona sasa na ni ID MPYA, tunKumbushana tu
nimejiskia tu yaani nimeamua tu(natania)Kwa nini unakataa ndoa ?
Kumbeπnimejiskia tu yaani nimeamua tu(natania)
Hivi unafikiri lucas mwashamba hayupo kwenye payroll mpaka Leo sababu gani? Amezidiwa nguvu na upinzani sasahiv anakuja na njia mbadalaHao sisiem kama watakua wanafanya hivyo watakua wamekosa kazi za kufanya.
πutamliza mgeniKwa uandishi huu,hayo mawazo yako bora ukae nayo wewe mwenyewe tu wala usitafute mtu wakubadilishana nae.
mi nitaolewa mkuu siwezi kataa ndoa lazima nikaitumikie,,,,, ngoj siku nitakuja kutafta rafikiKumbeπ
Kwa hyo ndio anajifanya mchuchu ili anase watu , mwambie akicheza atanasa humo moja kwa moja.Hivi unafikiri lucas mwashamba hayupo kwenye payroll mpaka Leo sababu gani? Amezidiwa nguvu na upinzani sasahiv anakuja na njia mbadala
Alafu nyie tukija PM kule mnakua mnauliza maswali ya ajabu ajabu mukome... πππππWapendwa natafuta rafik wa kubadirishana mawazo na kushauriana mambo mbalimbali . Mm ni mwanamke wa miaka 33 ninae jielewa ni ivo tu [emoji28] maisha
Wapo wengi mkuu jiopolee tu mchango nitatoa .mi nitaolewa mkuu siwezi kataa ndoa lazima nikaitumikie,,,,, ngoj siku nitakuja kutafta rafiki
nitashukuru sana sana sanaaaWapo wengi mkuu jiopolee tu mchango nitatoa .