HACHOKI TALEMWA
Member
- Mar 4, 2013
- 93
- 9
hesabu ni rahisi kama una msingi wake na unaipenda lakini ukiruka hatua za kujifunza hesabu utajkuta unaipenda lakini inakukamata ndo maana unaana kujifunza kujumlisha namba nzima darasa a kwanza na form six ni kama darasa la kwanza kwa elimu ya chuo kikuu labda nisijue vyuo vingine but chuo nilichopo mimi hesabu ni mwendelezo wa niliyoyasoma form six