Baba Kapompo
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 1,344
- 468
Wakuu me nataman kupima HIV but uwoga umentawala kwenda hosptal japo mwenzangu kla siku anang'ang'ania tukapme .kla tarehe ikipangwa mie natafuta 7bu ya kutoenda .ikabid nianze kuomba ushaur kwa ndug jamaa .nilipata mawazo meng tu kama mawazo yenu mnayofkiria baadh yenu .me sikuridhka na mawazo yote isipo kuwa kuna mt u alnambia kuna kifaa kinauzwa nijipime mwenyewe then nfanye uamuz wa kwenda kwa matokeo ambayo yanauhakika 70% sasa naomba kuulza n kwel hvyo vfaa vpo au laa na tmwenye uelewa na hili anifungue