Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Hongera kwa hiyo hiyo style ya mkeo kujipimia ni kila siku? hamna siku unahisi kuchoka sababu ya marudio? umeshajaribu nyingine kugundua starehe yake mbadala na hiyo?
Zipo nyingi tu labda uniPM humu jamvini siyo rahisi kutaja. Lakini kila wakati tumekuwa tukibadilisha style na kuinjoy sana mapenzi. Kuna thread moja nilizungumzia technique za mwanaume kuchelewa kumaliza. Mimi huwa nazitumia ili nimpe mke wangu muda zaidi wa kuinjoy style anayopenda. Na yeye huwa ananipa fursa ya kukaa mkao ninaopenda lakini huwa anafanya hivyo tunapotaka kukamilisha ngoma. It is always funny! In fact, hata hamu ya kutoka nje huwa siioni kabisa.
Zipo nyingi tu labda uniPM humu jamvini siyo rahisi kutaja. Lakini kila wakati tumekuwa tukibadilisha style na kuinjoy sana mapenzi. Kuna thread moja nilizungumzia technique za mwanaume kuchelewa kumaliza. Mimi huwa nazitumia ili nimpe mke wangu muda zaidi wa kuinjoy style anayopenda. Na yeye huwa ananipa fursa ya kukaa mkao ninaopenda lakini huwa anafanya hivyo tunapotaka kukamilisha ngoma. It is always funny! In fact, hata hamu ya kutoka nje huwa siioni kabisa.
Gosbert kumbe wewe pia ni dume la mbegu? hongera mwanawane
Zipo nyingi tu labda uniPM humu jamvini siyo rahisi kutaja. Lakini kila wakati tumekuwa tukibadilisha style na kuinjoy sana mapenzi. Kuna thread moja nilizungumzia technique za mwanaume kuchelewa kumaliza. Mimi huwa nazitumia ili nimpe mke wangu muda zaidi wa kuinjoy style anayopenda. Na yeye huwa ananipa fursa ya kukaa mkao ninaopenda lakini huwa anafanya hivyo tunapotaka kukamilisha ngoma. It is always funny! In fact, hata hamu ya kutoka nje huwa siioni kabisa.
Shantel bwana, wewe kule unanicheka kuhusu mtu kulia kama mbuzi kumbe na wewe yamekukuta eeee, pole sana mamii , ila jifunze kuwa muwazi kwa mpenzi wako. mwambie unataka nini, kama aelewi mwekee movie kidogo jifanye embu leo tujaribu hivi. sikunyingine kama ukitoka kwenye kitchen party jifanye umesikia watu wanaongelea style fulani mjaribu. halafu then jifanye kusema kumbe kubadilibadili nasikia raha zaidi, ukimwambia hivo tu atabadilika, wanaume wako makini sana kuhakikisha wanawapa wapenzi wao mapenzi wanayosikia raha hasa wanapokusikia mwenyewe ukisema unahitaji nini.
Mimi namwambiaga tu wala sina aibu na anajua hilo.na mara nyingi anauliza nikufanyie nini leo mpenzi. Raha tupu
shantel fanya hivi badili kiwanja,isiwe kitandani kila siku,
hamieni kwenye kochi...itasaidia kumlazimisha abadili staili...
kingine zile staili anazopenda,jifanye husikii,jikaushe hivi....
ili ajiulize kuna nini?
mwisho ni porno movies,zinasaidia....sometimes....
halafu mpe majina ya staili kwa kiswahili..
mi nakusaidia machache hapa..
1.mbwa kachoka..
2.kiduku
3.chuma mboga.
4.kijiko
5.baba na mama
6.kiinua mgongo..
7.utajuta kuzaliwa
8.kipepeo
8.chura
10...................
wengine watamalizia..............
Gaga ahsante kwa mabusara yako nakupenda nitajaribu hii nione itakuwaje, ninakucheka kweli mwenzangu yule wa kulia kama mbuzi mhh afadhali na marudio yangu.Ila kitchen pparty huwa hapendi kweli niende nikimwambia nimesikia huko sijui atanisikiliza!
shantel fanya hivi badili kiwanja,isiwe kitandani kila siku,
hamieni kwenye kochi...itasaidia kumlazimisha abadili staili...
kingine zile staili anazopenda,jifanye husikii,jikaushe hivi....
ili ajiulize kuna nini?
mwisho ni porno movies,zinasaidia....sometimes....
halafu mpe majina ya staili kwa kiswahili..
mi nakusaidia machache hapa..
1.mbwa kachoka..
2.kiduku
3.chuma mboga.
4.kijiko
5.baba na mama
6.kiinua mgongo..
7.utajuta kuzaliwa
8.kipepeo
8.chura
10...................
wengine watamalizia..............
si umwambie tuu au unasubiri watu wa marekani wawafanyie hisani