Natamani abadilishe kidogooo

Natamani abadilishe kidogooo

Hongera kwa hiyo hiyo style ya mkeo kujipimia ni kila siku? hamna siku unahisi kuchoka sababu ya marudio? umeshajaribu nyingine kugundua starehe yake mbadala na hiyo?

NiPM nikufundishe kidogo. Utafurahia mapenzi daima.
 
Zipo nyingi tu labda uniPM humu jamvini siyo rahisi kutaja. Lakini kila wakati tumekuwa tukibadilisha style na kuinjoy sana mapenzi. Kuna thread moja nilizungumzia technique za mwanaume kuchelewa kumaliza. Mimi huwa nazitumia ili nimpe mke wangu muda zaidi wa kuinjoy style anayopenda. Na yeye huwa ananipa fursa ya kukaa mkao ninaopenda lakini huwa anafanya hivyo tunapotaka kukamilisha ngoma. It is always funny! In fact, hata hamu ya kutoka nje huwa siioni kabisa.

hapo kwenye red hebu anzisha darasa kwa wanandoa wote wasitoke nje kama wewe Gosbert
maan hili swala la wanandoa kuwa na makando kando limezidi
 
Zipo nyingi tu labda uniPM humu jamvini siyo rahisi kutaja. Lakini kila wakati tumekuwa tukibadilisha style na kuinjoy sana mapenzi. Kuna thread moja nilizungumzia technique za mwanaume kuchelewa kumaliza. Mimi huwa nazitumia ili nimpe mke wangu muda zaidi wa kuinjoy style anayopenda. Na yeye huwa ananipa fursa ya kukaa mkao ninaopenda lakini huwa anafanya hivyo tunapotaka kukamilisha ngoma. It is always funny! In fact, hata hamu ya kutoka nje huwa siioni kabisa.

Gosbert kumbe wewe pia ni dume la mbegu? hongera mwanawane
 
Gosbert kumbe wewe pia ni dume la mbegu? hongera mwanawane

Naona kama naingiliwa vile! Asante kwa kubaini jambo hilo. Swali anaulizwa mwingine jibu anatoa mwingine. Mambo ya JF hayo.
 
Someni/angalieni KAMA SUTRA-the art of making love(the perfume garden)
 
Zipo nyingi tu labda uniPM humu jamvini siyo rahisi kutaja. Lakini kila wakati tumekuwa tukibadilisha style na kuinjoy sana mapenzi. Kuna thread moja nilizungumzia technique za mwanaume kuchelewa kumaliza. Mimi huwa nazitumia ili nimpe mke wangu muda zaidi wa kuinjoy style anayopenda. Na yeye huwa ananipa fursa ya kukaa mkao ninaopenda lakini huwa anafanya hivyo tunapotaka kukamilisha ngoma. It is always funny! In fact, hata hamu ya kutoka nje huwa siioni kabisa.

Nimekupata mkuu gosbert aka ....... kumbeeee ila nawazimia wote kwa mabusara
 
mi nafikiri ushauri sahihi mwambie ajiunge na jamiiforums.....

atajifunza mengi.....................
 
mi nafikiri ushauri sahihi mwambie ajiunge na jamiiforums.....

atajifunza mengi.....................

Natamani nimwite saa hizi nijifanye namwonyesha hii thread
 
Shantel bwana, wewe kule unanicheka kuhusu mtu kulia kama mbuzi kumbe na wewe yamekukuta eeee, pole sana mamii , ila jifunze kuwa muwazi kwa mpenzi wako. mwambie unataka nini, kama aelewi mwekee movie kidogo jifanye embu leo tujaribu hivi. sikunyingine kama ukitoka kwenye kitchen party jifanye umesikia watu wanaongelea style fulani mjaribu. halafu then jifanye kusema kumbe kubadilibadili nasikia raha zaidi, ukimwambia hivo tu atabadilika, wanaume wako makini sana kuhakikisha wanawapa wapenzi wao mapenzi wanayosikia raha hasa wanapokusikia mwenyewe ukisema unahitaji nini.
Mimi namwambiaga tu wala sina aibu na anajua hilo.na mara nyingi anauliza nikufanyie nini leo mpenzi. Raha tupu

Gaga ahsante kwa mabusara yako nakupenda nitajaribu hii nione itakuwaje, ninakucheka kweli mwenzangu yule wa kulia kama mbuzi mhh afadhali na marudio yangu.Ila kitchen pparty huwa hapendi kweli niende nikimwambia nimesikia huko sijui atanisikiliza!
 
shantel fanya hivi badili kiwanja,isiwe kitandani kila siku,
hamieni kwenye kochi...itasaidia kumlazimisha abadili staili...

kingine zile staili anazopenda,jifanye husikii,jikaushe hivi....
ili ajiulize kuna nini?

mwisho ni porno movies,zinasaidia....sometimes....

halafu mpe majina ya staili kwa kiswahili..
mi nakusaidia machache hapa..

1.mbwa kachoka..
2.kiduku
3.chuma mboga.
4.kijiko
5.baba na mama
6.kiinua mgongo..
7.utajuta kuzaliwa
8.kipepeo
8.chura
10...................

wengine watamalizia..............
 
shantel fanya hivi badili kiwanja,isiwe kitandani kila siku,
hamieni kwenye kochi...itasaidia kumlazimisha abadili staili...

kingine zile staili anazopenda,jifanye husikii,jikaushe hivi....
ili ajiulize kuna nini?

mwisho ni porno movies,zinasaidia....sometimes....

halafu mpe majina ya staili kwa kiswahili..
mi nakusaidia machache hapa..

1.mbwa kachoka..
2.kiduku
3.chuma mboga.
4.kijiko
5.baba na mama
6.kiinua mgongo..
7.utajuta kuzaliwa
8.kipepeo
8.chura
10...................

wengine watamalizia..............

Hahahaaahahaha ahsante sana nitajaribu ila kiduku siijui wala kiinua mgongo, umenichekesha sana na leo atanikoma yaani nimepata ujasiri wa hali ya juu, unajua nilikuwa nawaza sana leo itakuwaje na mie nishachoka na marudio yake nimepata mwangaza fulani hivi atashangaa leo
 
Gaga ahsante kwa mabusara yako nakupenda nitajaribu hii nione itakuwaje, ninakucheka kweli mwenzangu yule wa kulia kama mbuzi mhh afadhali na marudio yangu.Ila kitchen pparty huwa hapendi kweli niende nikimwambia nimesikia huko sijui atanisikiliza!

we mkubwa bana utapata tu njia ya kuongea na mwenzako ili wote mpeane maraha.fata ushauri uliopewa utakufikisha mbali.umeona style za the boss mwanangu
 
shantel fanya hivi badili kiwanja,isiwe kitandani kila siku,
hamieni kwenye kochi...itasaidia kumlazimisha abadili staili...

kingine zile staili anazopenda,jifanye husikii,jikaushe hivi....
ili ajiulize kuna nini?

mwisho ni porno movies,zinasaidia....sometimes....

halafu mpe majina ya staili kwa kiswahili..
mi nakusaidia machache hapa..

1.mbwa kachoka..
2.kiduku
3.chuma mboga.
4.kijiko
5.baba na mama
6.kiinua mgongo..
7.utajuta kuzaliwa
8.kipepeo
8.chura
10...................

wengine watamalizia..............

Free style
Yokohama
Mshazari
Wapendanao
Kibao cha mbuzi
Nipe nikupe n.k
 
Mwambie hivi:

Leo nataka tufanye ka mchezo kadoogo kwenye kupeana mahaba, akikubali, mwambie leo mimi boss na wewe servant wangu, utafanya kila nilitakalo. Uanzie hapo kumpa instructions ya unayoyataka. Kuwa mbunifu na usione haya.
 
Back
Top Bottom