Natamani awe rafiki/mshauri wangu.

Natamani awe rafiki/mshauri wangu.

Sasa kama hapa JF tu unaogopa wakati hamuonani mtaani inakuaje?!
Kuonana na mhusika siyo ishu kwangu ,lakini nimependa kupata maoni ya great thinkers kabla ya kuendelea mbele Wasalimie unga limited
 
Una roho nzuri weye!!! Sa mtoa mada si aseme kama nimepatia kitendawili chake?..lol
<br />
<br />
hahahaha! Nina roho nzuri sana, kumtesa binadamu mwenzio kwa vitu ulivyopewa bure mungu hapendi ujue.
Mtoa mada anaona aibu bwana. Atakuwa anatype huku amefumba macho.
 
Sweetlady umepatia,u have made my day,ckuwa na aibu wala nini lakini si unajua nataka sinema lifikie mahali pake ? Ni lazima pawepo na logic flani hv katika kufanya kila jambo.
 
Sweetlady umepatia,u have made my day,ckuwa na aibu wala nini lakini si unajua nataka sinema lifikie mahali pake ? Ni lazima pawepo na logic flani hv katika kufanya kila jambo.
<br />
<br />
Ha ha ha Hus....umedondokewa.... Ha ha ha mpoze roho mwenzio
 
hahahaha! Nina roho nzuri sana, kumtesa binadamu mwenzio kwa vitu ulivyopewa bure mungu hapendi ujue.
Mtoa mada anaona aibu bwana. Atakuwa anatype huku amefumba macho.

Ole wako ukatae ntakufata hadi kwenu nikupe adhabu ya kufuturu pipi kila siku mpaka mwezi mtukufu uishe!!
 
Usianze kumwambia habari za kukataa maana anaweza akaanza kufikiria kukataa,
 
Habari wanajamvi. At my suprise nimejikuta natamani kampani ya member mmoja hapa.Naogopa kumchana live maana yawezekana akafikiria kuwa nataka kuvunja relationship yake(kama anayo). Ni mtu anayetoa hoja ambazo mara nyingi zimenivutia. Akiniruhusu kubadilishana naye mawazo ni bonge ya furaha kwangu. Nifanyeje?
<br />
<br />
Usimuogope yupo kwa ajili yako, mchane tu
 
kadondokewa husninyo? hapana mwache mwezi uishe kwanza ndiyo umwambie. Kipipi wewe unfuturisha wenzio jina lako? Shinwa.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ha ha ha Hus....umedondokewa.... Ha ha ha mpoze roho mwenzio
<br />
<br />
hahahahaha! Da, mi nimedandia gari tu kwa mbele.
Hili zali lilikuwa la sweetlady hili.
 
Ole wako ukatae ntakufata hadi kwenu nikupe adhabu ya kufuturu pipi kila siku mpaka mwezi mtukufu uishe!!
<br />
<br />
hahahahaha! Utanifuturisha pipi na uji eeh?
Zali langu nimemwachia swtlady. Kizuri kula na nduguyo!
 
<br />
<br />
hahahahaha! Utanifuturisha pipi na uji eeh?
Zali langu nimemwachia swtlady. Kizuri kula na nduguyo!
Hahahaha!.. Ngastuka na machale kundesa!.. Husni hili zali na huu mwezi mi hapana kwa kweli, we malizana nae kijeshi ila chonde chonde kloro asijekushtukia manake atauwa mtu...lol..
 
Sweetlady umepatia,u have made my day,ckuwa na aibu wala nini lakini si unajua nataka sinema lifikie mahali pake ? Ni lazima pawepo na logic flani hv katika kufanya kila jambo.
Piga makofi tafadhali...daaah kitendawili kilikuwa kigumu ati...ucjal husni atakupokea kwa mikono miwili na moyo mkunjufu!..
 
Hahahaha!.. Ngastuka na machale kundesa!.. Husni hili zali na huu mwezi mi hapana kwa kweli, we malizana nae kijeshi ila chonde chonde kloro asijekushtukia manake atauwa mtu...lol..
<br />
<br />
swtlady unapiga teke fuko la dhahabu.
Hlf ngoja nimwambie mme wangu salanga abadili ID kloro asije akamfyatulia risasi bure.
 
<br />
<br />
swtlady unapiga teke fuko la dhahabu.
Hlf ngoja nimwambie mme wangu salanga abadili ID kloro asije akamfyatulia risasi bure.
Acha tu fuko liende! Mwezi mtukufu huu yakhe... Afu ujue kloro alinipa kazi ya kuwa body guard wako eeh?? Mi nakuangalia tu na huyo Salanga wako, !..
 
Back
Top Bottom