Natamani awe rafiki/mshauri wangu.

Natamani awe rafiki/mshauri wangu.

<br />
<br />
ujue hili lithread la akili sana yaani ni zaidi ya love connect. Hebu fanya mpango uprint ubaki na ukumbusho.mia
nimeliprint tayari na kopi moja nimemfowadia Uporoto huko huko rumande. halusi lini tukaazime suti la aspirin?
 
nimeliprint tayari na kopi moja nimemfowadia Uporoto huko huko rumande. halusi lini tukaazime suti la aspirin?
<br />
<br />
harusi kesho, lazima tucheze dushelele na viduku kwa sana. Venue jf muda kama huu.
Babu asprin anashinda na kaniki ya bibi siku hizi. Suti zote kauza alipe madeni.
Usimwambie mwingine hiyo siri.
 
<br />
<br />
harusi kesho, lazima tucheze dushelele na viduku kwa sana. Venue jf muda kama huu.
Babu asprin anashinda na kaniki ya bibi siku hizi. Suti zote kauza alipe madeni.
Usimwambie mwingine hiyo siri.


Yaani mimi nataka kuleta mchango kumbe nyinyi hamko serious?, acha niwasiliane na mod ili salanga na mke wake wapewe ban kwa kuleta mzaha in da hauz of gret thinkaz
 
Haina shida Husniyo mi siwezi force mambo, aftre all nipo mbali sana

Hapo ndio huwa mnachemka sana. Huko mbali sana ni wapi.? Kama wewe uko mbali unajuaje labda yeye alizaliwa huko huko mbali. Kesho utasema tatizo unatumia ferari hujui hata akikubali kama atakuwa confortable kuliapnda......

teh teh teh teh
 
Hapo ndio huwa mnachemka sana. Huko mbali sana ni wapi.? Kama wewe uko mbali unajuaje labda yeye alizaliwa huko huko mbali. Kesho utasema tatizo unatumia ferari hujui hata akikubali kama atakuwa confortable kuliapnda...... teh teh teh teh
Hizo story ni pre-realtionship. sasa tunaongea mengine,umenisikia?
 
Yaani mimi nataka kuleta mchango kumbe nyinyi hamko serious?, acha niwasiliane na mod ili salanga na mke wake wapewe ban kwa kuleta mzaha in da hauz of gret thinkaz
Naona ww una lako jambo mara uporoto ,hatupo serious ,sijui nnini.......... USHINDWE NA KULEGEA KABISA.
 
Yaani mimi nataka kuleta mchango kumbe nyinyi hamko serious?, acha niwasiliane na mod ili salanga na mke wake wapewe ban kwa kuleta mzaha in da hauz of gret thinkaz
Bwana mdogo cc hatuhitaji mchango wako ni ww tu,sema upo wapi gari itakufuata.
 
bby wkend imepooza! Upo mbali na upeo wa pua yangu. Sisikii hata harufu ya ile perfume yako. Come close swthrt.
I am here with u baby,dont worry I got out for a moment kuandaa mambozzzzzz ya vyakula na unajua kesho j2,ni kujiandaa kwenda church. I am your shoulder to cry on,your voice when u cant speak. I am the one 2 rise U high high.................. Love comes to those who believe as u do. Cling on me and I will carry u
 
Hizo story ni pre-realtionship. sasa tunaongea mengine,umenisikia?

Hata kama kusema after alll wewe uko mbali maana yake uko mbali kutoka wapi. Na unajuej yeye yuko wapi? yaaani refence point ya kuwa mbali ni msatri wa equtor ,north pole . south pole . Hii ni global village hakuna mbali au bado uko mwaka 1947
 
Hata kama kusema after alll wewe uko mbali maana yake uko mbali kutoka wapi. Na unajuej yeye yuko wapi? yaaani refence point ya kuwa mbali ni msatri wa equtor ,north pole . south pole . Hii ni global village hakuna mbali au bado uko mwaka 1947
Jijibu jibu unaloona litakufaa kaka
 
I am here with u baby,dont worry I got out for a moment kuandaa mambozzzzzz ya vyakula na unajua kesho j2,ni kujiandaa kwenda church. I am your shoulder to cry on,your voice when u cant speak. I am the one 2 rise U high high.................. Love comes to those who believe as u do. Cling on me and I will carry u
Kumbe wewe ndio Salanga,huu mstari ume-copy & paste kotoka wapi si unajuwa mambo ya hatimililiki ?
 
Back
Top Bottom