Natamani hii nafasi ya WHO kama tunaweza kugombea tena Dkt. Peter Kisenge aIgombee

Natamani hii nafasi ya WHO kama tunaweza kugombea tena Dkt. Peter Kisenge aIgombee

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Sina hakika kama tunaweza kugombea tena hii nafasi ya WHO aliyopata mpendwa wetu marehemu Dr. Ndugulile na kama tunatuhusiwa kugombea tena kuna huyu Dr Peter kisenge wa pale Jakaya Kikwete.

Natamani hii nafasi aombe naamini atapata huyu mtu ni mtu sana kwa sasa hapa Tanzania katika Madaktari wetu tulio nao
 

Attachments

  • Screenshot_20241203-202650_1.jpg
    Screenshot_20241203-202650_1.jpg
    205.9 KB · Views: 4
Sina hakika kama tunaweza kugombea tena hii nafasi ya WHO aliyopata mpendwa wetu marehemu Dr. Ndugulile na kama tunatuhusiwa kugombea tena kuna huyu Dr Peter kisenge wa pale jakaya kikwete natamani hii nafasi aombe naamini atapata huyu mtu ni mtu sana kwa sasa hapa Tanzania katika madaktari wetu tulio nao
Yupo Professor Abel Makubi

Very well organised Man in medical industry

However najua hawawaezi kumpa.maana ni Chato moja hiyo
 
Sina hakika kama tunaweza kugombea tena hii nafasi ya WHO aliyopata mpendwa wetu marehemu Dr. Ndugulile na kama tunatuhusiwa kugombea tena kuna huyu Dr Peter kisenge wa pale jakaya kikwete natamani hii nafasi aombe naamini atapata huyu mtu ni mtu sana kwa sasa hapa Tanzania katika madaktari wetu tulio nao
Unaleta usenge
 
Sina hakika kama tunaweza kugombea tena hii nafasi ya WHO aliyopata mpendwa wetu marehemu Dr. Ndugulile na kama tunatuhusiwa kugombea tena kuna huyu Dr Peter kisenge wa pale jakaya kikwete natamani hii nafasi aombe naamini atapata huyu mtu ni mtu sana kwa sasa hapa Tanzania katika madaktari wetu tulio nao
Hawezi hiyo kazi....
 
Si nasikia ndungulile kafa kwa mkono wa mtu? Huyo labda ndo alijiona anafaa, wampeleke yeye
 
naona leo nyuzi nyingi za kampeni za kidokta yaani kila mtu anampambania mtu wake mwenye mjomba,baba,kaka,shemeji basi kila mmoja anamsogeza mtu wake karibu apate kuonekana na timu ya vetting..ila mm kati ya wote walioletwa humu kidogo nimemuelewa yule dr. neema mwakilishi wa WHO malawi...vp yule mdada wa maabara ya taifa enzi za magu sijui anaitwa nani yule nilionaga CV yake ilishiba kidogo labda hawa kidogo wana uzito...sio hao kina kigwa,janabi sijui dr.mollel hawa machawa tu na kujikomba kwingi
 
Back
Top Bottom