Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Una nyota ya ushoga, au huenda wewe ni shoga kabisa, na hapo sio kutamani kuzaa ila nahisi unajitangazia soko upate wa kusodomize
 
ina maana unapenda hadi wanavyofanyiwa hadi mimba kupatikana..

hizi ni dalili za kupumuliwa kisogoni
 
bila shaka ww ni shoga... maana mashoga wote wameukana uanaume wao na wewe umeukana..na tayari unajitangaza humu.. nyuzi za hivi moderator wako wapi ni za kufungwa maana nchi yetu haifungamani na haya mambo
 
Kwanini yuko sahihi?
Nashindwa nikuelezeee
Mf: simple chukulia
Kichaa kwa yale matendo ambayo Huwa anayafanya!.
Je, unadhan anajiona hayupo sahihi?
Je, kama anajiona hayupo sahihi unafikiri anashindwa kubadilika?
Je, endapo akibadilika unategemea atajisikiaje kwa jamii
Je,unadhani kichaa anawachukuliaje watu wanao mshangaa?
 
Tayari umeshaliwa mtu wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…