Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Kwenye hiyo avatar yako naona kundi la "Jackson 5" kundi ambalo linamhusisha Michael ambaye huwenda alikuwa kipenzi chako.

Ila Michael baadae alikuja kufanya marekebisho kadhaa kwenye mwili wake ambayo yalimpa Muonekano wa tofauti (Nadhani ni Role Model wako)

Ulivyosema unatamani kubeba mimba nimetazama kwa jicho la mbali AVATAR yako na kujua ulivyo katika uhalisia wako.

Kwani nikisema "Wewe ni Shoga Utaumia"?
 
na swaumu yote hii mkuu unawaza kuliwa kiboga na wanaume wenzako....daahh
yaani unawaonea gere wanavyofanywa wanawake....😎😎
 
Da! Kwa hali hii kweli serikali ya viwanda inawezekanaje?.maana mtu kama uyu hata kubeba box awezi
 
Haswaa mkuu kwa hali hii Yesu anakaribia kurudi maana maandiko yalishatabili mambo haya,mh!tuombee vizazi vyetu kwakweli zaidi Tuombe mwisho mwema.
 
duuuuuh na nani akupe hiyo mimba maana fedhea utabeba na huyo pimbi mwenzio, aki ni ajabu
 
kumbe ni wanaume wa ulaya tu ndo wanafikilia hivyo
 
I am trying to think of this from a scientific/psychological point of view.
This must be a new kind of paraphilia
 
We are living in an open world. There is a freedom of speech and, clearly, freedom of speculation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…