ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
KumbeTausi! Futa akilini serikali hairuhusu
Ndiyo serikali hairuhusu kabisa.Kumbe
AiseeNdiyo serikali hairuhusu kabisa.
Duh why tausi si ndege tu yuleNyara za serikali utaingia matatani kaombe kwanza vibali
Utavifatilia na huenda ukavipata kihalali kabisa hivyo vitu. Ila siku utakayozingua tu, wanavitumia hivyo hivyo kukuweka ndani.Nataka niweke hao wanyama nyumbani kwangu kuna mtu akaniambia tausi wapo ikulu na labda wanaopewa ni viongozi wakiomba.Nani anajua wapi nitawapa tausi kuhusu kobe nashangaa wameadimika sana mashambani ila nina imani nikitoa offer atafutwe lazima atapatikana.tausi nampataje na bei zake zipoje wakuu.
Bibie unataka ufuge nini!?Aisee
Tena zile za brownMakobe mbona yapo tu mkuu?
Tausi kidogo ndiyo kipengele, ila makobe yapo tu nayaona sana shamba
Tunamshukuru sana Rais Samia kwa kutuwezesha kufuga ndevuSie tusio na hela ngoja tuendelee kufuga ndevu..🙄
Kobe wapo Rorya sana. Tausi njoo nkuuzie MayaiNataka niweke hao wanyama nyumbani kwangu kuna mtu akaniambia tausi wapo ikulu na labda wanaopewa ni viongozi wakiomba.Nani anajua wapi nitawapa tausi kuhusu kobe nashangaa wameadimika sana mashambani ila nina imani nikitoa offer atafutwe lazima atapatikana.tausi nampataje na bei zake zipoje wakuu.