Natamani kuifanya familia yangu kuwa kama ya Bakhresa na ya akina Mo Dewji, nipeni muongozo

We jamaa utakua mkoloni sana
Hapana, I consider myself very lenient and generous, bloodline isitumike kama hati miliki, what is the point kumuachia urithi billions of money mwanao ambaye ni irresponsible drug addict? convince me otherwise hapati chochote
 
Familia za wenzetu zimepiga hatua kwa kurithishana biashara na asset vizazi na vizazi
 
Familia za wenzetu zimepiga hatua kwa kurithishana biashara na asset vizazi na vizazi
Kitu usichoelewa hao wanaoachiwa lazima wa prove uwezo wao, hard work etc kuna zaidi ya bloodline na tumeona rafiki au binamu anaachiwa mtoto wa kuzaliwa anaachwa, usicheze na watu waliopata mali kwa jasho lao
 
Kitu usichoelewa hao wanaoachiwa lazima wa prove uwezo wao, hard work etc kuna zaidi ya bloodline na tumeona rafiki au binamu anaachiwa mtoto wa kuzaliwa anaachwa, usicheze na watu waliopata mali kwa jasho lao
Sasa mfano mimi wakati mzee anafariki nilikuwa na 4yrs old nitaproove vipi, vipaji vingine vinachelewa kuzaliwa japo mimi sio kipaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…