Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Leo ni tarehe 10! Vipi, utabiri wako umetimia? Au ndiyo kusema mkeka umechanika!Anza kutamani na kocha mpya pia maana trh 9 Nabi hatakuwa kocha wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ni tarehe 10! Vipi, utabiri wako umetimia? Au ndiyo kusema mkeka umechanika!Anza kutamani na kocha mpya pia maana trh 9 Nabi hatakuwa kocha wenu
Leo eti na nyinyi mnaipongeza Yanga kwa kupata ushindi ugenini!! 🤔Sisi tulimpenda...Ila Baba Wa Mbinguni Amempenda Zaidi'....
Maana Marehemu Alikuwa Na 'mdomo Sana'...
Malengo yenu yalikuw kushiriki makundi ya club bingwa afrika huku kwa malosers kama alivyosema aliekuwa semaji lenu wanashiriki simba tuAsante mkuu , nakukumbusha tu kuwa Leo ni November 10
Ni kweli na ndiyo Mana tulimfukuza NabiMalengo yenu yalikuw kushiriki makundi ya club bingwa afrika huku kwa malosers kama alivyosema aliekuwa semaji lenu wanashiriki simba tu
Makundi ya losers?Ni kweli na ndiyo Mana tulimfukuza Nabi
Sawa, mfamajiMakundi ya losers?