mr man city
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 467
- 319
Wakuu,
Kabla sijafika ofisi za VETA Mwanza naomba madereva mnishauri hapa.
Nahitaji mwaka huu usiishe niwe nimepata angalau ujuzi wa kuendesha magari haya ya kawaida tu pamoja na leseni yake.
Nimeona VETA ndio chuo kinaonekana cha uhakika. Hizo course zinatumia muda sana maana bado niko na kazi ya kufanya, na nianzie course gani kwa kuwa naona licence zina madaraja tofauti.
Mimi sina idea yoyote ya kuendesha gari. Ndio nataka nianze moja nipate ujuzi. Huwa napata tabu sana nikiambiwa chukua gari uendeshe na sina ujuzi. Location ni Mwanza.
Kabla sijafika ofisi za VETA Mwanza naomba madereva mnishauri hapa.
Nahitaji mwaka huu usiishe niwe nimepata angalau ujuzi wa kuendesha magari haya ya kawaida tu pamoja na leseni yake.
Nimeona VETA ndio chuo kinaonekana cha uhakika. Hizo course zinatumia muda sana maana bado niko na kazi ya kufanya, na nianzie course gani kwa kuwa naona licence zina madaraja tofauti.
Mimi sina idea yoyote ya kuendesha gari. Ndio nataka nianze moja nipate ujuzi. Huwa napata tabu sana nikiambiwa chukua gari uendeshe na sina ujuzi. Location ni Mwanza.