Egyps-women
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 497
- 107
Ahaaa ahaaa halafu anataka kukupiga na ngumi dah huyu KIMADA balaa kweliKumbe wewe ndo ulikuwa na uhusiano na husb wangu ee?:A S-coffee:
Mkuu hapo ni KIMADA tu anafanya hivyo je jamaa angeamua kumuoa na kumuweka ndani si angemuua mke wa jamaa kabisa huyu wanawake wa namna hii ni hatari sana, halafu ameniacha hoi anapojisifia kuwa mke wa jamaa haoni kwake kwa uzuri hata kidogo sasa kama ndio hivyo haijulizi kwanini jamaa kamtosa halafu akarudi kwa wife wake pamoja sijui na figure 8 anayosema aliyonayo....Nemo kayasema yote nilokuwa nayafikiria kuyasema.
...sababu huenda ni hko kiburi (cha mkewe hakuingii na blah blah nyingine) ...umenibore sana. Hata ingekuwa mimi nisingekubali unitukanie mke wangu..
Kimke kinaonekana kipotabo, maana kasema ngumi moja tu chali? vingine vimekomaa hajui! unapiga ngumi mkono unapinda wenyeweAhaaa ahaaa halafu anataka kukupiga na ngumi dah huyu KIMADA balaa kweli
Ahaaa ahaaa Gaga naona atakuwa anatizama kwa sura tu hajajua purukushani za wife wa jamaa zikoje ndio maana ana brag sanaKimke kinaonekana kipotabo, maana kasema ngumi moja tu chali? vingine vimekomaa hajui! unapiga ngumi mkono unapinda wenyewe
Habari zenu wana Jamii Forum. Mimi ni mgeni humu. Ila si mgeni ki hivyo nimekuwa natembelea bila kuwa member. Nimeamua kujiunga ili nipate kushauriwa kwani shida niliyonayo siwezi kushare na mtu ninaye mjua.
Mimi ni mdada wa miaka 32. Ni mrembo sana yaani wale mnaoita 8 figure. Sijisifii ila hilo nimeona nilitamke ili muweze kuielewa vizuri mada yangu.
Nilitokea kumpenda sana kijana mmoja na kuja kugundua baada ya miezi miwili kuwa ni mume wa mtu. Kaka ni muislamu hivyo havai pete na kwa kuwa ni kijana sikuweza kudhania kuwa ni mume wa mtu na kwa kweli ningejua nisinge mpa moyo wangu.
Tatizo niligundua kuwa kaoa wakati nimeshampenda. Na ni yeye mwenyewe alinitamkia kuwa nina mke baada ya kujua sitaweza kumwacha kwani nilikuwa nimekolea.
Tumekaa kwenye uhusiano kwa muda wa mwaka na nusu sasa mpaka pale mkewe alipokuja kugundua. Mimi mkewe nilikuwa nimeshamjua. Ni mdada msomi na ana kazi nzuri sana ila ni wa kawaida na aniingii hata nusu kwa uzuri kwa hiyo nilijua tu kuwa mumewe atakuwa ananipenda mimi zaidi na labda kuna siku nitakuwa mke wa pili kwani ni muislamu.
Tatizo limeanza miezi miwili iliyopita. Jamaa alinipigia simu akanambia mkewe amejua kuwa tuna uhusiano, kwa hiyo mimi na yeye basi kwani hataki kuvunja ndoa yake. Nimeumia sana imagine mwaka na nusu na nimeshampenda sana. Nimejitahidi kumfuata ofisini kwao secretary wake ananambia jamaa kasafiri wakati gari naliona nje ya ofisi. Nimempigia simu simpati naona amebadili namba.
Hivi kweli wanaume mnaweza kuwa wakatili hivi? Kibaya zaidi mkewe kutwa ananipigia simu na kunitisha kuwa atanifukuzisha kazi. Mimi sijali kufukuzwa kazi kwani ninampenda sana huyo mwanaume.
Nishaurini nifanyeje kwa wale wenye uzoefu wa kuwa vimada na wale wenye nyumba ndogo.
Msinitukane jamani. Mimi sijawahi maishani mwangu kutembea na mume wa mtu zaidi ya huyu na sikuwahi kuwaza kuwa yatanikuta. Hivi nyie wanawake wa kwenye ndoa uwa mnawaroga wame zenu? Iweje mtu niliyekuwa nampagawisha the other day leo aseme sitaki kukuona tena kisa tu mkewe kajua?
Na huyu mkewe nimfanyeje aache kunifuata fuata. Maana amekuwa ananipa vitisho kila kukicha mpaka nahofia uhai wangu. Mumewe mwenyewe kesha niacha na yeye bado analeta mikwara wakati nikimwangalia hata ngumi moja namuua.
Mkuu habari yako binafsi bana niaje jombaa wewe si haujaoa hebu chukua huyu Kimada bana anahangahika na waume za watu wakati wanaume singo wako hapa lol!!!Pole sana Kimada kwa mkasa uliokukumba, hapo suala ni kumsahau huyo jamaa. Jichanganye na watu wengine baada ya muda utamsahau!!
Ahahahaaaah!!Kumbe wewe ndo ulikuwa na uhusiano na husb wangu ee?:A S-coffee:
Kweli kabisa kaka, wakati sisi tunatafuta wa kuoa hapa JF yeye anang'ang'ania waume za watu...Mkuu habari yako binafsi bana niaje jombaa wewe si haujaoa hebu chukua huyu Kimada bana anahangahika na waume za watu wakati wanaume singo wako hapa lol!!!
Na mimi nashanga naona anakimbizana na mume wa mtu hadi ofisini kwake Katavi hebu du ze nidful lol!!!Kweli kabisa kaka, wakati sisi tunatafuta wa kuoa hapa JF yeye anang'ang'ania waume za watu...
Ahaaaa ahaaaahalafu anadai kwanini mke wa jamaa anamfatilia wakati yy ashamuacha...hapo hapo bado anamfata jamaa ofisini kwake. utaisoma namba aise
Rogi ndio hawa sasa wanaojibana kwa waume za watu ukiwauliza wanakwambia hakuna wanaume wakati yeye kang'ang'ania mume wa mtuafu baadhi wanasema hakuna wanaume wa kuoa wkt wenyewe wamejiweka kwa waume za watu eti siku hz ndo fasheni.
Yeye anadhani uzuri wa sura ndio tiketi ya kuolewa, labda alikuwa hajitumi??umeshaambiwa kuwa ni mume wa mtu we bado kiguu na njia mpaka ofisini kwake...ili iweje sasa???????
we tulia utapata wako wa peke yako utulie nae.
halafu jua kuwa uzuri wa sura na umbo sio kila kitu...kuna kujiongeza kule uwanjani na zaidi tabia.
Vigezo na mashariti kuzingatiwa..Habari zenu wana Jamii Forum. Mimi ni mgeni humu. Ila si mgeni ki hivyo nimekuwa natembelea bila kuwa member. Nimeamua kujiunga ili nipate kushauriwa kwani shida niliyonayo siwezi kushare na mtu ninaye mjua.
Mimi ni mdada wa miaka 32. Ni mrembo sana yaani wale mnaoita 8 figure. Sijisifii ila hilo nimeona nilitamke ili muweze kuielewa vizuri mada yangu.
Nilitokea kumpenda sana kijana mmoja na kuja kugundua baada ya miezi miwili kuwa ni mume wa mtu. Kaka ni muislamu hivyo havai pete na kwa kuwa ni kijana sikuweza kudhania kuwa ni mume wa mtu na kwa kweli ningejua nisinge mpa moyo wangu.
Tatizo niligundua kuwa kaoa wakati nimeshampenda. Na ni yeye mwenyewe alinitamkia kuwa nina mke baada ya kujua sitaweza kumwacha kwani nilikuwa nimekolea.
Tumekaa kwenye uhusiano kwa muda wa mwaka na nusu sasa mpaka pale mkewe alipokuja kugundua. Mimi mkewe nilikuwa nimeshamjua. Ni mdada msomi na ana kazi nzuri sana ila ni wa kawaida na aniingii hata nusu kwa uzuri kwa hiyo nilijua tu kuwa mumewe atakuwa ananipenda mimi zaidi na labda kuna siku nitakuwa mke wa pili kwani ni muislamu.
Tatizo limeanza miezi miwili iliyopita. Jamaa alinipigia simu akanambia mkewe amejua kuwa tuna uhusiano, kwa hiyo mimi na yeye basi kwani hataki kuvunja ndoa yake. Nimeumia sana imagine mwaka na nusu na nimeshampenda sana. Nimejitahidi kumfuata ofisini kwao secretary wake ananambia jamaa kasafiri wakati gari naliona nje ya ofisi. Nimempigia simu simpati naona amebadili namba.
Hivi kweli wanaume mnaweza kuwa wakatili hivi? Kibaya zaidi mkewe kutwa ananipigia simu na kunitisha kuwa atanifukuzisha kazi. Mimi sijali kufukuzwa kazi kwani ninampenda sana huyo mwanaume.
Nishaurini nifanyeje kwa wale wenye uzoefu wa kuwa vimada na wale wenye nyumba ndogo.
Msinitukane jamani. Mimi sijawahi maishani mwangu kutembea na mume wa mtu zaidi ya huyu na sikuwahi kuwaza kuwa yatanikuta. Hivi nyie wanawake wa kwenye ndoa uwa mnawaroga wame zenu? Iweje mtu niliyekuwa nampagawisha the other day leo aseme sitaki kukuona tena kisa tu mkewe kajua?
Na huyu mkewe nimfanyeje aache kunifuata fuata. Maana amekuwa ananipa vitisho kila kukicha mpaka nahofia uhai wangu. Mumewe mwenyewe kesha niacha na yeye bado analeta mikwara wakati nikimwangalia hata ngumi moja namuua.
Namvutia pumzi...Na mimi nashanga naona anakimbizana na mume wa mtu hadi ofisini kwake Katavi hebu du ze nidful lol!!!
Ahaaaa ahaaaa
Rogi ndio hawa sasa wanaojibana kwa waume za watu ukiwauliza wanakwambia hakuna wanaume wakati yeye kang'ang'ania mume wa mtu