Natamani kujiua

unamdanganya
yaani awe mgongo wazi ndo kapendeza?????
 
Tuliza moyo wako,kubali mapungufu yako,chunga tamaa mbaya!!!!!
 
We vumilia usijiue,acha hizo wewe vuta subira tu utasahau,maana nadhani haina haja ya kujiua kisa umemkosa,hivi angepata ajali na bahati mbaya yeye akafa ungejiua?acha hizo jikaze.
 
Mmmh!MJ1,
Bora leo umetoka na hii avatar, lol
ile nyingine nilikuwa naigwaya kweli,
lakini moyo ulikuwa mzito kusema!!!

Au kwakuwa KImada ana figure 8,
basi na wewe umeamua kutoka ki hivi......lol..
Congrats..................

Aksante bacha asa kwa nini hukusema kama nlikuwa natisha?

Hahahhaa.......nimemwonea huruma kimada ningemtolea hadi chini aone namba nane za ukweli...........lol

Eti mkewe hamfikii hata kidogo.kuna mtu kamwuliza kinachoolewa ni umbo au mke? Na si ajabu mwenzie kweli alikuwa na nia ya kumwoa (kama mke wa pili) ila ile hali ya kuendelea naye hata pale alipomwambia nina mke si ajabu ilimshtua!! Kaanzajiuliza iweje kama mie mume wa mtu nmekuja nkalaa, ntajuaje kama hatokuja mwenzangu naye akalaa??

Ah kakimbiza bawa.
Afu hajishangai......hiyo namba yake ya simu bi mkubwa kapewa na mumewe amsaidie kufukuza pepo hilo ah!!
 
Ukiona vyaelea ujue vimeundwa!!
We umeaubiria mwenzio ampendezeshe mumewe ndo uje kumpenda?!Utanashati wake uliokuvutia haujashuka toka mbinguni...kama alikudanganya kwa vijisenti navyo hakuzaliwa navyo!Mwache aliyetoa jasho ale raha zake bila karaha za vibaka wa mapenzi sijui wa waume za watu!!!

Kama hiyo namba nane yake inakuaminisha kwamba inakubalika kiasi cha kukupatia ndoa basi itulize ikubalike na mtu ambae hana mke ili na wewe upate ndoa yako!!

Ila jaribu kujichunguza uone mapungufu yako maan unaonekana we unajiona PERFECT wakati unaonekana SIO!Dharau tu uliyoonyesha kwa dada wa watu inatosha kumkimbiza mwanaume hata kama hana ndoa maana kesho kesho kutwa kakuoa utaanza hata kumdharau mama yake kwamba mchafu..hili na lile kwahiyo anza kwa kujivua gamba la dharau!Next tambua kwamba hiyo namba nane yako ingekua ticket ya ndoa usingegonga miaka 30 bila ya pete kidoleni mwako!Jiulize kwanini mpakableo bado upo upo tu kisha ujitazame kwa makini kutokea ndani kuja nje na sio uangalie gamba tu na kuridhika.Kava la kitabu hata livutie vipi kama kilichoandikwa ndani hakina mvuto hamna atakaehangaika kukisoma.Ndo maana mwenzio unaeona hajakufikia kwa uzuri anaitwa mke na mumewe karudi kwa kasi wakati we umeachwa na mng‘aro wako wa ENGLISH GOLD!Then acha kupenda mteremko...mwenzio kashampendezesha mumewe huko hujui alikuaje mwanzo we unataka kumpokonya tu kirahisi?!Tafuta wako na wewe uhangaike nae akishapendeza nawe ujigambe umepata na umepata kweli!

Hatua za kufuata...
Jivue gamba la dharau!
Badili mtazamo wako kuhusu wanawake wengine.
Heshimu ndoa za watu ili ukifanikiwa kua na yako na wewe uwe na haki ya kuitaka hiyo heshima!
Acha kujidanganya uzuri wa sura ndo kila kitu na kurekebisha tabia yako iwe nzuri zaidi ya sura!
Badili mwelekeo wa maisha yako kwa kukaa mbali na mume wa mwenzio na kutafuta wako!!

Kila la kher!
 



ndo maana nasema MJ1, kuwa,
wapo wadada hapa mjini kuishi na kuvinjari na waume za watu ndo maisha yao,
lakini uzuri wao wanazijua rules of the game,
sasa nadhani kimada ilipaswa awasiliane na nao ili wampe a,b,c!!!!!!!!!
hawa wadada wanajua kuuma na kupuliza ati,
na bado maisha yanasonga lol..!!!!!!!!
 
mimi nakushauri ujiue,jaribu kuhakikisha kabla jua halijazama umeshakula vumbi.na ikiwezekana usiache wosia wowote kwani kwa kufanya hivyo utaacha matatizo kwemye ndoa ya watu.
na kama utaamua kutumia sumu kunywa ile ya kimatira ni nzuri sana kwani hutanuka sana ukasumbua kwenye mazishi.
 
pole kimada. naomba nikukumbushe tu kua umri ulionao ni jibu tosha kua ndoa haingalii sura wala figure 8. ingekua hivyo sasa hivi ungekua na ndoa ya miaka mitano. wewe ulidhani unampagawisha lakini alijali familia yake zaidi. alilala kwako kwa sababu huenda nyumbani kidogo kulitetereka au alisema kasafiri. hakua tayari kukuona. mwaka na nusu wala sio muda mrefu wa kuona umeonewa kuachwa. wanaachwa watu walioishi miaka zaidi ya 10 tena wote single na maisha yanaendelea, hakuna wa kujiua wala kujinyonga itakua wewe uliyeachwa after 18 months of relationship. shukuru kwanza kua hujapotezewa muda mrefu. tafuta wa kwako kwa sasa ili inshallah ukibahatika upate ndoa japo utoe gundu. mimi nina mume wa mtu, sipendi hivyo lakini kwa umri wangu kupata single si rahisi, mwaka wa 7 huu, heshima kwa kwenda mbele. halali kwangu bila mimi kujua sababu aliyotoa kwake. akikwaruzana na mkwewe, namwambia asije kwangu mpaka tofauti zilizopo kwake ziishe. naamini tunapendana maana tunaelewana sana. tunasaidiana mambo mengi, he's happy, am happy, we make each other happy. ndio wizi ulivyo... pole
 

mmh!Lizzy, kama nakuona vile live,
unavyomshushua mwenzio na vidole umeviachia hewani lol....
 


nimependa ujasiri wako sal wa kutamka kuwa wewe una mume wa mtu,
na uko nae poa!!!big up..............
hebu fundisha huyu kimada bana,
anakosea zile rules zenu,kavamia mchezo ambao hawezi ucheza bana!!!!!!!!
 
You made my day kimada! Yaani wewe namba 8 kwa hiyo unaamini waweza kuvunja ndoa yoyote ya asiye na namba kama yako. Pole sana. Ningekuhurumia ila msg yako imejaa kejeli.

Anyway nakushauri uokoke labda utapata mume mwema kanisani maana na umri ndio huo umesonga karibu utaitwa nungaembe. Na kama ulikuwa unavinjari na mume wa mtu wazi wazi jua fika sifa mbaya huvuma zaidi ya sifa nzuri kwa hiyo lots of people know what you have been doing na utabakia kutumiwa maisha yako yote kwani serious men will dig deeper to know your CV before proposing for marriage.

Na nilivyokusoma wewe si mtu wa kukubali boyfriend masikini. Unajidai ooh nimempenda hujampenda wala nini umependa pochi tu hapo. Sasa sijuhi kama utapata mwingine mwenye pochi kama yeye na still awe single au ndio umeanza rasmi kazi ya kubadili wame za watu.


Haya katafute kungwi wa vimada akupe somo la kula na vipofu. Ila ningekuwa mimi mke wa jamaa ningekutafutia watu wakate **** hilo linalokutia jeuri.
Eeh Mungu protect our marriages, hali ni mbaya.
 

Sidhani kama huyu 'english gold' amekuelewa.
 
Asante KIMADA kwa ujasiri wa kuandika haya yote..na sijui ni nani aliyekwambia ulilete hapa JF!

Lakini kutokana na michango ya wanajamvi nimejifunza mengi.. Huenda usingeileta hiii mada nisingeweza kuyajua..
 
Asante KIMADA kwa ujasiri wa kuandika haya yote..na sijui ni nani aliyekwambia ulilete hapa JF!Lakini kutokana na michango ya wanajamvi nimejifunza mengi.. Huenda usingeileta hiii mada nisingeweza kuyajua..
Kama yapi ili na sie tujifunze kama bado..¡⸮
 
Mimi ni mdada wa miaka 32. Ni mrembo sana yaani wale mnaoita 8 figure. Sijisifii ila hilo nimeona nilitamke ili muweze kuielewa vizuri mada yangu.
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
pole na matatizo, samahani naomba uweke picha yako hapa kama hautajali(hata ukificha sura hamna shida)
 
Me natamani ufe sasa hivi,sijui nikuletee sumu au nikusagie chupa unywe,au kamba ujinyonge.
Mnaompa moyo huyu kimada bila kumwambia kakosea hamsaidii?
nlishangaa sana kuona jina lako eti kimada,tena ZING unachotaka kufanya angalia Mungu asikurudi kwanza unafamily wewe??? au unam........ kimada?
Halaf we kimada unajua kama unakose kwann uombe tusikutukane?Huyo mwenye ndoa wacha akutukane hadi ufe.
Naona umesahau alichokiunganisha MUngu..............................................................................
NUNGAYEMBE MKUBWA WEWE!!!!!! na utahangaika sana.
 

Mimi hii justification siipendi!! hivi nani kawadanganya kuwa walio single ni wanawake tu??
Unasema kwa umri wako huwezipata mwanaume aliye single, hivi kila siku tunaposema ndoa zinavunjika, zikivunjika masingle wanakuwa wanawake tu?..........wanaume waliokumbwa na mivunjiko ya ndoa wanaenda wapi?
kuna wanaofiwa na wake at a tender age.wao hawawi single? hawaoi tena? jamani hebu tutafute sababu nyingine but this ...........please!!

Why ung'ang'anie mwanaume wa watu Sal??
Unawezapata wa kwako; mume wa mtu ni nuksi na kwa taarifa yako ukishaanza naye mmoja, trend yako itakuwa hiyo tu i.e. kama we ni binti ambaye hujaolewa ukianza tu kula vya waume za watu basi utaishia huko tu unless uamue na kuchange mindset yako.

MUNGU akutangulie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…