Natamani kujiua

Natamani kujiua

Me natamani ufe sasa hivi,sijui nikuletee sumu au nikusagie chupa unywe,au kamba ujinyonge.<BR>Mnaompa moyo huyu kimada bila kumwambia kakosea hamsaidii?<BR>nlishangaa sana kuona jina lako eti kimada,tena ZING unachotaka kufanya angalia Mungu asikurudi kwanza unafamily wewe??? au unam........ kimada?<BR>Halaf we kimada unajua kama unakose kwann uombe tusikutukane?Huyo mwenye ndoa wacha akutukane hadi ufe.<BR>Naona umesahau alichokiunganisha MUngu..............................................................................<BR>NUNGAYEMBE MKUBWA WEWE!!!!!! na utahangaika sana.
 
Me natamani ufe sasa hivi,sijui nikuletee sumu au nikusagie chupa unywe,au kamba ujinyonge.<BR>Mnaompa moyo huyu kimada bila kumwambia kakosea hamsaidii?<BR>nlishangaa sana kuona jina lako eti kimada,tena ZING unachotaka kufanya angalia Mungu asikurudi kwanza unafamily wewe??? au unam........ kimada?<BR>Halaf we kimada unajua kama unakose kwann uombe tusikutukane?Huyo mwenye ndoa wacha akutukane hadi ufe.<BR>Naona umesahau alichokiunganisha MUngu..............................................................................<BR>NUNGAYEMBE MKUBWA WEWE!!!!!! na utahangaika sana.


punguza munkari....

 
Oke, hata mtu akikulaumu sasa atakuwa anakuonea dadangu. Waliokushauri kubadilisha simu naungana nao 100% Huyo mwanaume wala usihangaike sana naye, atakutafuta siku moja kama kweli ulimpa moyo wako kwa kina, kwani alipoyagida si alijuwa anaye mke nyumbani? Wewe ndio hukujua. Kwa taarifa yako hata yeye ndoa yake imekula kwake, maana furaha waliyokuwa nayo mwanzo haipo na haitakuja tena. Hata ajieleze vipi hataaminika.

Kama umejisifia mwenyewe kwamba uko gado kishenzi, basi yeye alikuzibia tu njia zako kwa mtu uliyeandaliwa na Mungu wako. Binadamu yeyote hukosa na kamwe kosa lako sio la kustahili kuuwawa au kufa. Nijuavyo wanawake wote hupenda kama ulivyofanya kwa kujimimina moyo wako kwa mpenzi wako na ndicho kinatakiwa hata wanaume wafanye. Lakini alikikosa kwa mkewe alichokipata kwako. Hajakuacha ila amelazimika kutii kiapo chake na labda waliapizana kutoongeza mke mwingine ndio maana hataki kuivunja ndoa yake, isije ikawa kuna viapo vua ukoo hapo na labda kuishi kwa bwana huyo kunategemea mkewe kwa asilimia kubwa, akivunja maviapo ndio kifo chake. Mhurumie pia kwa sababu huumii peke yako bali yule bwana naye anaumia ile mbaya kukosa ulichomzoeza na hana ujanja.

Jitulize na uanze kuangalia dunia ilivyo mviringo, atakuja anayekufaa na utashangaa kwa nini ulichelewa kumpata. Ulimpenda sana huyo sababu haukuwa na alternative ya kulinganisha naye. I tell you, all men are good to women if they find a matching pair. Usimpe mtu hazina yako kabla hujamfahamu sawasawa. Jipe nafasi ya kumjua vizuri unayefikiri unapatana naye. Ama sivyo akuambie waziwazi kwamba matatizo yake ni nini na kikomo chenu ni wapi (Mipaka) ili kama ni kugida kwa kuondoa kiu tu ieleweke na kama ni kwa misingi ya kujenga nyumba pamoja ieleweke. Kama anataka kuchukuwa hati miliki juu yako, usimpe mali ghafi mpaka kwanza amefika nyumbani kwa wazazi wako nawe umefika kwao kujitambulisha. Hapo tena uwe makini, maana wengine ni jasiri kiasi kwamba watafanya yote hayo na bado kisogoni anakuwa na hesabu tofauti. Apewe hifadhi yako pale tu anapokuwa ameleta alichoambiwa kuleta kwenu na wazazi wako, ndio ujijue kwamba mnatakiwa kupozana wakati mnakaribia kuungana. Hakuna uchumba wa miaka unaofanikiwa sana mkiwa mnagidana kila siku. Kwani mnaoana kwa ajili ya nini kama sio migido nayopeana. na haja gani kuharakisha kuoana kama anapata kwako hata bila kuoana?

Ukijiua utakuwa mjinga, maana yeye ataendelea kuishi na ataendelea kudanganya wengine kwa foleni, wewe utabadili cheo na kuitwa marehemu. Huyo utakayempata kwa design niliyokuambia, msijifiche, jianikeni kwamba mna lengo zuri. Kwake nenda mchana kweupe na kwako aje mchana kweupe kila mtu ajue nyie mko pamoja. Unapojificha ndio maana mwanaume anaweza kugida wanawake watano walio marafiki sana na wao wasijuane kama wanamhudumia mtu mmoja, kila mmoja akijifanya amepata kumzidi mwenzie kumbe wote ni nyama ile ile ila mapishi ndio tofauti. Mtawekwa foleni mpaka mkome ubishi. Siku mnapotambua mnaanza kugombana na kuumizana kila mmoja akidai mwenzake anamwibia.

Habari ndiyo hiyo.
 
Pole sana dada yangu. Ni kweli kuwa mambo mengi yametokea kwako mazuri na mabaya. Kwanza naomba nikutoe hofu kuwa ulikuwa umefanya kosa kupendana na huyo jamaa. your were just right. Ulimpenda kama vile ambayo ungempenda mwanaume mwingine yeyote. kwanza hukujua kama ameoa hivyo siyo kosa lako.

Pili huyo bwana pia yuko right kukuacha kwa kuwa mambo kama haya yanapofichuka huwa yana pressure sana hivyo kuendelea nawe angeendelea bila kuwa na raha yoyote. Kumbuka kuwa huyo mkewe sasa anaweza kuwa anamfuatilia mumewe pia hivyo kuna uwezekano wa kufumaniwa ambayo huyo ni aibu kubwa sana kwenye maisha ya Kiafrika.

Tatu: Unapaswa kujaribu kuondoa mawazo yako kwa huyo bwana. Futa kabisa usimuwaze kabisa. Hili najua ni gumu kwa kuwa moyo na penzi lenu lilifika mbali sana. JITAHIDI umuondoe kwenye mawazo yako na utafanikiwa. Tahadhari sana usitumie kilevi kama pombe au sigara au madawa kama njia ya kumsahau huyo bwana. Tumia njia ya kawaida tu na utafanikiwa. Jaribu pia kutumia muda mwingi sana ofisini kwa KULIKO KAWAIDA na utaona mafanikio yake.

KUMBUKA: Watu wengi wanaoachwa hujitahidi kuoa, kuolewa KWA HARAKA SANA. Hilo ni moja ya makosa makubwa katika maisha. Kwa sasa jaribu kujizuia usipate mwanaume mwingine ile roho yako itulie na machungu yote yapungue. Ukipata mwingine harakaharaka kuna uwezekano mkubwa wa kuachana harakaharaka pia.

USIJIUE. Maisha bado ni marefu, na matamu bila huyo bwana. Kwanza nashukuru kuwa wewe ni mrembo sana (ingawa sijakuona) na pia unajua kupagawisha kama ulivyosema mwanzo. USIJIUE tulia utapata bwana mzuri, mwema, wako 100% na utafurahia maisha siku zote za maisha yako. TULIA, VUMILIA NA BAADAYE UTAFURAHIA MAISHA UPYA KABISA. Enjoy.
 
Me natamani ufe sasa hivi,sijui nikuletee sumu au nikusagie chupa unywe,au kamba ujinyonge.<BR>Mnaompa moyo huyu kimada bila kumwambia kakosea hamsaidii?<BR>nlishangaa sana kuona jina lako eti kimada,tena ZING unachotaka kufanya angalia Mungu asikurudi kwanza unafamily wewe??? au unam........ kimada?<BR>Halaf we kimada unajua kama unakose kwann uombe tusikutukane?Huyo mwenye ndoa wacha akutukane hadi ufe.<BR>Naona umesahau alichokiunganisha MUngu..............................................................................<BR>NUNGAYEMBE MKUBWA WEWE!!!!!! na utahangaika sana.

Dunia haiko hivyo mzee.
 
Hivi nani huko juu kasema huyu dada ajivue kwanza gamba la majivuno?... yaani kweli anatakiwa ajivue hilo gamba otherwise itakuwa ngumu kweli kweli kupata mume wa ukwee..
 
ON second thoughts"KIMADA" has just joined JF,9th sense tells me F----F---- is back-all yer flock has been taken for a ride
 
Huyu Kimada hebu atuwekee picha yake hapa tuone hiyo figure namba nane anayotishia wake za watu kuwa hawaoni ndani kwake
 
Ukiona vyaelea ujue vimeundwa!!
We umeaubiria mwenzio ampendezeshe mumewe ndo uje kumpenda?!Utanashati wake uliokuvutia haujashuka toka mbinguni...kama alikudanganya kwa vijisenti navyo hakuzaliwa navyo!Mwache aliyetoa jasho ale raha zake bila karaha za vibaka wa mapenzi sijui wa waume za watu!!!

Kama hiyo namba nane yake inakuaminisha kwamba inakubalika kiasi cha kukupatia ndoa basi itulize ikubalike na mtu ambae hana mke ili na wewe upate ndoa yako!!

Ila jaribu kujichunguza uone mapungufu yako maan unaonekana we unajiona PERFECT wakati unaonekana SIO!Dharau tu uliyoonyesha kwa dada wa watu inatosha kumkimbiza mwanaume hata kama hana ndoa maana kesho kesho kutwa kakuoa utaanza hata kumdharau mama yake kwamba mchafu..hili na lile kwahiyo anza kwa kujivua gamba la dharau!Next tambua kwamba hiyo namba nane yako ingekua ticket ya ndoa usingegonga miaka 30 bila ya pete kidoleni mwako!Jiulize kwanini mpakableo bado upo upo tu kisha ujitazame kwa makini kutokea ndani kuja nje na sio uangalie gamba tu na kuridhika.Kava la kitabu hata livutie vipi kama kilichoandikwa ndani hakina mvuto hamna atakaehangaika kukisoma.Ndo maana mwenzio unaeona hajakufikia kwa uzuri anaitwa mke na mumewe karudi kwa kasi wakati we umeachwa na mng&#8216;aro wako wa ENGLISH GOLD!Then acha kupenda mteremko...mwenzio kashampendezesha mumewe huko hujui alikuaje mwanzo we unataka kumpokonya tu kirahisi?!Tafuta wako na wewe uhangaike nae akishapendeza nawe ujigambe umepata na umepata kweli!

Hatua za kufuata...
Jivue gamba la dharau!
Badili mtazamo wako kuhusu wanawake wengine.
Heshimu ndoa za watu ili ukifanikiwa kua na yako na wewe uwe na haki ya kuitaka hiyo heshima!
Acha kujidanganya uzuri wa sura ndo kila kitu na kurekebisha tabia yako iwe nzuri zaidi ya sura!
Badili mwelekeo wa maisha yako kwa kukaa mbali na mume wa mwenzio na kutafuta wako!!

Kila la kher!
Una figure namba 8 weye???? lol
 
Mind you love and/or sex never pays the bills!!

Hapo sasa!! Halafu kuna kitu sielewi vizuri........yaani ndugu yangu kimada na uzuri wote huo bado wataka kuwa spare tyre....???? Something is wrong some where.
 
Wanachokitaka wanaume ni zaidi ya uzuri ulionao, si ajabu kuna unachokosa so jiangalie mwenyewe kwanza, zaidi fikiria kama wewe ndo ungekuwa mke wa huyo jamaa ungekubali kirahisi hivyo?

Tafuta wako peke yako ili baadae akichakachua nje uone uchungu/utamu wake.
 
Huyu Kimada hebu atuwekee picha yake hapa tuone hiyo figure namba nane anayotishia wake za watu kuwa hawaoni ndani kwake

Wewe kweli unanichekesha. Kwani utajuaje kama picha unayowekewa ni picha halisi unayoitaka kuijua? Ni binadamu huyu, bora hata kajitahidi kujieleza. Labda hata maelezo hayo analeta kuchangamsha jamvi hujui. Tunapojikunja kuandika sio kwa ajili yake tu, ni kwa ajili ya yeyote anayeweza kutokewa na jambo kama hilo. Sio lazima awe yeye anahusika nalo. Kuweni na akili katika michwa, sio siku zote watu wanaandika mambo yanayowahusu wao wenyewe binafsi. Lakini vijembe na matusi na sifa na chorus na vibwagizo anavyopewa wananufaika wengi, pengine wanaonufaika zaidi ni wasomaji wengine zaidi ya aliyeleta mada. Hapa toa ushauri kwa kadiri hekima yako inavyokuongoza. Unaweza kuwa unagombana na kivuli.
 
Tuliza moyo wako!! NAjua utapata mwingine atakaye kupenda kwa dhati!!!
 
OOOOOh mai mai. ungekua karibu ningekuchapa makonde ili akili ifunguke. yani wewe kweli unadhani uzuri ndo kinga ya kuharibu vya wenzako.... jiweke kwenye nafasi ya huyu mke wake. ndo na unavojiaminisha u mzuri na unavyodhani haingii kwako ujue kuna vitu unapungukiwa.... ukiwa mstaarabu utaacha hata hio habari ya kumfuatafuata ofisini kwake. ushaambiwa hakutaki we unang'ang'ania ili iweje. KUMBUKA cha mtu......ukiona tema mate ...

kaa chini jipange anza upya kwingine.
 
Mi sikupi pole hata kidogo.ulipogundua ni mume wa m2 ulipaswa kuachana nae asap,lakini kwa kutumia kigezo cha uzuri uliona uliendelea kujipa moyo ati utakuwa second wife.kwani jamaa aliwai kukutamkia kuwa anataka kuoa tena? Nakushauri futa kabisa iyo mentality ya uzuri kwani ndo inakudanganya.nani alikwambia mwanaume anapenda kwa kuangalia uzuri na figure
Huna cha kuonewa huruma .Alijiona mzuri na yawezekana jamaa alikudanganya kwa kukwambia mkewe mbaya na hata alilazimishwa kumuoa wewe ukajiona ni mzuri na amefika .Jifunze kutafuta wa kwako cha mtu ni mavi.
 
Back
Top Bottom