Natamani kujua Joketi wakiwa na Kiba huwa wanamsema nini Mondi

Natamani kujua Joketi wakiwa na Kiba huwa wanamsema nini Mondi

jerry joshy

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
402
Reaction score
504
yaan kati ya vitu natamanigi kujua ni nini ally huwa anadiscuss na jokate about diamond au wanataniana nini kuhusiana na mondi especially wakiwa wanataniaa about mapenzi.......

oooh yule hana lolote ww ndo the best au ,kwanza mondi kakuzid mpaka kitandani yaani i wish coz jokate anamdate hasimu wa ex wake so hapo hapakosi utani flani hivi..........amaizing ambao unakata mood baina yao mpka kususa

N.B NDO AKILI YANGU IMENITUMA KUWAZA HIVI NOW MUDA WA LUNCH....
 
Endelea kuwaza,labda akiri itakutuma kuwaza majibu yake kesho
 
Sijui umeandika nini tuuh ,nimejitahid kusoma ila sijaelewaa kbs
 
Yan wewe ukikaa na demu wko au bwana ako mnakaa kudiscuss watu badala ya kupigana kipara..?? Sorry, una umri gani mkuu?
 
Wewe siyo MONDI kweli nina wasiwasi na huo mwandiko, au ndio unajisahaulisha zile za uso ulizopewa na POZ KWA POZ[emoji4][emoji2]
 
yaan kati ya vitu natamanigi kujua ni nini ally huwa anadiscuss na jokate about diamond au wanataniana nini kuhusiana na mondi especially wakiwa wanataniaa about mapenzi.......oooh yule hana lolote ww ndo the best au ,kwanza mondi kakuzid mpaka kitandani yaani i wish coz jokate anamdate hasimu wa ex wake so hapo hapakosi utani flani hivi..........amaizing ambao unakata mood baina yao mpka kususa
N.B NDO AKILI YANGU IMENITUMA KUWAZA HIVI NOW MUDA WA LUNCH....
Ww ni tim SHILAWADU nn,maana na ww umelianzish ijumaa.
 
Acha umbeaUmbea dogo...hizo ni dalili za unyevu wa makalio..
 
Acha kuingilia mambo ya 'chumbani ya watu'! Unachotaka kusema mambo ya Dmond ni 'pillow talk' ya Kiba na Jokate?
 
Back
Top Bottom