Alcady12
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 449
- 552
Labda kwasababu kiba ni mwanaume wa dar anaweza akawaza hivyo unavyo fikiria lakini wanaume mikoani hatuna hayo mambo ya ajabu ajabu.Lakini nimesoma kwa umakini nimeona kama vile wewe ni ile timu ujanja ujanja young dee,By the way sidhani kama kiba anafikra kama za kwako.