Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Hahahaaaaa vipi nyomi likoje?Hili ndilo la muhimu zaidi.
Live band aachiwe Kiba tu jamani.
Ahaaa live band aachiwe kibaaa na bellaa watu wapo wapo ,,lemutuz ndio nmemuona live leo wala siongei sana ila afanye mazoez
 
Ahaaa live band aachiwe kibaaa na bellaa watu wapo wapo ,,lemutuz ndio nmemuona live leo wala siongei sana ila afanye mazoez
Hao Jamaa Mnaowasifu Wanaweza Live Band Mbona Mimi Niliwasikia Wanaimba Sauti Kama Vyura. Hebu Wasikilize,

- Alikiba, Cheketua ( Coke Studio )

- Christian Bella ( Fiesta )

Sauti Mbovuu
 
Kama duniani kuna wazee wanajutia siku waliyopiga bao wakatunga mimba za watoto wao flanflan bado mzee malechela analaani siku hiyo bao la huyu kijana wake....fuc$#@k the day he was born a bastard
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ahaaa live band aachiwe kibaaa na bellaa watu wapo wapo ,,lemutuz ndio nmemuona live leo wala siongei sana ila afanye mazoez
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nashangaa tunaambiwa tusubiri videos.
Hivi WCB walivyo na sifa hadi sasa hakuna mapichapicha kweli?
Au wanataka wakatengeneze kwanza kama kawaida yao?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu wanakula burudani kwanza mda huu.. Subirini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…