Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

5a58378e342ea4abedf60da24a781e7f.jpg
Picha na maktaba
Cc Fiesta 2014
 
Kwanini picha zimeunganishwa na sio moja moja? Cha kuchekesha zaidi picha zote zimepigwa eneo moja karibu na stage.
Ndio maana jana nilisema leteni picha za angle zote.

Hata hivyo kwa hali ya sasa mmejitahidi,sio mbaya sana.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Siku hizi kuunganisha picha imekuwa dhambi [emoji23]

Hivi kabisa mnadhani tungeandaa show bila kuwa na uhakika kuwa itatulipa??

Sisi wafanyabiashara, hatujaandaa show Ili kujifurahisha..

Kwahiyo lemutuz amedanganya?? Millard ayo amedanganya?? Hebu tupeni nyinyi picha za kweli..
 
Hivi mnajua kazi za maphotographer nyinyi waambie wapige picha nyuma ya watu muone hapo camera haijawekewaa zoom so akipga kwa mbele watu kumi unawaona ka ishirini
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Siku hizi kuunganisha picha imekuwa dhambi [emoji23]

Hivi kabisa mnadhani tungeandaa show bila kuwa na uhakika kuwa itatulipa??

Sisi wafanyabiashara, hatujaandaa show Ili kujifurahisha..

Kwahiyo lemutuz amedanganya?? Millard ayo amedanganya?? Hebu tupeni nyinyi picha za kweli..
Acha wanafiki waendelee kupayuka huku wasafi mifuko ikituna.
 
Hivi mnajua kazi za maphotographer nyinyi waambie wapige picha nyuma ya watu muone hapo camera haijawekewaa zoom so akipga kwa mbele watu kumi unawaona ka ishirini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa watu wanatuona mambugila sana.
 
Back
Top Bottom