davidngonde
Senior Member
- Dec 15, 2013
- 147
- 109
Picha na maktaba
Cc Fiesta 2014
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha na maktaba
Sasa ndio umenuna?[emoji134] twende zetu hun [emoji8]Ingia Millard ayo ryt now [emoji35]
Picha ni hii hii hamna nyingine?View attachment 450018 Hapo Bado hajapanda Diamond na kwa Taarifa nilizo nazo Watu walio njeee Ambao bado wanakaguliwa ili waingie ni Wengi mno
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Sasa ndio umenuna?[emoji134] twende zetu hun [emoji8]
Tena Akikutana Na Man Water. Inakuwa Bolingo Nangai KabisaPoint Mkuu! Kiba dizaini yake ya kuimba live haina tofauti na Akudo..
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kwanini picha zimeunganishwa na sio moja moja? Cha kuchekesha zaidi picha zote zimepigwa eneo moja karibu na stage.
Ndio maana jana nilisema leteni picha za angle zote.
Hata hivyo kwa hali ya sasa mmejitahidi,sio mbaya sana.
Picha na maktaba
Cc Fiesta 2014
Hivi kabisa mnadhani tungeandaa show bila kuwa na uhakika kuwa itatulipa??
Sisi wafanyabiashara, hatujaandaa show Ili kujifurahisha..
Kwahiyo lemutuz amedanganya?? Millard ayo amedanganya?? Hebu tupeni nyinyi picha za kweli..
Acha wanafiki waendelee kupayuka huku wasafi mifuko ikituna.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Siku hizi kuunganisha picha imekuwa dhambi [emoji23]
Hivi kabisa mnadhani tungeandaa show bila kuwa na uhakika kuwa itatulipa??
Sisi wafanyabiashara, hatujaandaa show Ili kujifurahisha..
Kwahiyo lemutuz amedanganya?? Millard ayo amedanganya?? Hebu tupeni nyinyi picha za kweli..
Mi nilesema toka mwanzo sea breeze ni badogo sana anagalia watu walivo wachache hdi nyuma panaonekana vzur mond anajua kutafta sifa ili aonekane alijaz kumbe nothing
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa watu wanatuona mambugila sana.Hivi mnajua kazi za maphotographer nyinyi waambie wapige picha nyuma ya watu muone hapo camera haijawekewaa zoom so akipga kwa mbele watu kumi unawaona ka ishirini