Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Kwahiyo kutokuwepo kwa ripota wa EATV au "watu wenu", sisi tuwasaidieje kwenye hilo???

Mlitaka twende tukawabebe makwao ili "waje kuhakikisha"..

Ukitaka picha za tukio ingia page ya lemutuz, millardayo.com, page ya kifesi, page ya wasafi, issaazam, almaszambele, ingia sasa hivi utapata picha za tukio..

Kutokuwepo kwa hao "watu wenu" sisi hatuna namna ya kuwasaidia..

Taarifa ni kwamba ntu ni nyomi! Its sold out..
 

Attachments

Wasafi leo wamejaza kama ilikuwa show ya bure
1482611378467.jpg
 
Hii shoo ni ya wasafi au clouds fm, nimewaona navikenzo sasa sijui na wao wako wasafi???
 
Acha zako hizo wewe.
Picha za kuunga manake zimekuwa cropped.
Kwanini msiweke picha mojamoja?
Halafu inaingia akili picha za eneo moja kuunganishwa?
Picha zote zimepigwa karibu na stage halafu zimeunganishwa?
Jeez...something must be wrong.

Halafu Millard Ayo,Le Mutuz wote ni watu wenu.
Angekuwepo ripota kutoka EATV sawa.
Period
Eatv wako bize wanaamuandalia kibakuli tuzo
ila kama umekuja na picha zako mfukoni ivi maaana hutaki kabisa kuziamini hizi hebu leta zako hizo hata kama wanaimbia viti au mchanga..
Chuki amekufunza nani hukuzaliwa nayo..
 
Back
Top Bottom