Debby Christine
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 300
- 307
Hata mimi kwa kweli [emoji41]Nasubiri picha ya kuchoma moto ile ndingaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi kwa kweli [emoji41]Nasubiri picha ya kuchoma moto ile ndingaaaa
Cku iz ommy crazy anafanya kazi clouds fm???Picha na maktaba
Cc Fiesta 2014
Mkuu muonyeshe hizi aone ilivyobumaShemeji pita mitandaoni huko kwa watu wetu wa press! Picha zipo kibao..
Kacheki kwa kifesi, issaazam, almaszambele, millardayo, lemutuz, etc
Kipi cha ajabu acha shobo ww hyo "lol" mbna hatusemiaaaaaaaarghrrrrr mwanaume unasema veeepe lol.......
Huyu bwana angepaswa kuwa The Mayor of Dar.
Post ipi nmesema pic ya ku edit mbna unapuyanga jamaa anguAliyepaniki n ww unaessma picha za kuediti
Daah kama mbaya ni mbaya tu kama mganga wa kienyeji
Pale matarajio yanpogonga nwambaPost ipi nmesema pic ya ku edit mbna unapuyanga jamaa angu
T shirt inafunika NOAH hio
Hizo picha kapost djommycrazy wa EATV sasa unataka reporter gani mwingine toka EATV duu Mimi ni hater wa diamond ila wewe ndugu yangu umezidi hahahaAcha zako hizo wewe.
Picha za kuunga manake zimekuwa cropped.
Kwanini msiweke picha mojamoja?
Halafu inaingia akili picha za eneo moja kuunganishwa?
Picha zote zimepigwa karibu na stage halafu zimeunganishwa?
Jeez...something must be wrong.
Halafu Millard Ayo,Le Mutuz wote ni watu wenu.
Angekuwepo ripota kutoka EATV sawa.
Period
Kausha tu mkuu hatupew pesa wala nnPale matarajio yanpogonga nwamba
Ukiunganisha na ya mkubwa fella unafunika bombadier yetuT shirt inafunika NOAH hio
Afadhali mkuu unenisaidia kushangaaThe bold njoo uone avatar yako uku.