Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Shemeji pita mitandaoni huko kwa watu wetu wa press! Picha zipo kibao..

Kacheki kwa kifesi, issaazam, almaszambele, millardayo, lemutuz, etc
Kwaio umelichukuliaje swala la @ Nifa kuchukua avatar yako.
Maana nimecheck avatar mbona zinalandana na mkuu The bold?
 
Hizo picha tano zote ni za mbele ni kama moja imegawanywa gawanywa, hebu chek hao jamaa wawili walio vifua waz mchek huyo jamaa mwenye tishet nyeupe yenye mstari mwekundu na huyo dem mwenye nyeus juu chini nyekundu. Hakuna nyomi hapo tunadanganyana.
 
Yaani nyie huo u team wenu heee!!na ogopa sana mngekuwa mnapeana hii mipovu face2face mngetiana hata vidole vya mk
 
Hizo picha tano zote ni za mbele ni kama moja imegawanywa gawanywa, hebu chek hao jamaa wawili walio vifua waz mchek huyo jamaa mwenye tishet nyeupe yenye mstari mwekundu na huyo dem mwenye nyeus juu chini nyekundu. Hakuna nyomi hapo tunadanganyana.
Mwaka huu mta tapatapa sana
 
834b067463332d2c2969637b1d11f64a.jpg
b24471b28a8b57f46bd50798d68118d2.jpg
Mmmmh hivi huyu msela ana familia?maana huu umri wa 50+ ni wa magonjwa ya kisukari na tezi dume.... kama hana kids basi imekula
 
Kama duniani kuna wazee wanajutia siku waliyopiga bao wakatunga mimba za watoto wao flanflan bado mzee malechela analaani siku hiyo bao la huyu kijana wake....fuc$#@k the day he was born a bastard
Hahaha bado kwa vichwa maji walitaka apewe ukuu waa wilaya ubongo
 
-Clouds fm
-Vodacom Tz
-Mkesha wa X-mass
-Dar es salaam
Kwa factor hizi hata mwanangu best Nasso anajaza uwanja wa Taifa bila shida,tuachane na idadi ya watu tuambieni WCB wanafanya balaa gani leo maana idadi ya watu ilikua iko wazi kama nanliiu ya kuku duh mimi niko zangu La chaaz hapa nahisi JPM anasingiziwa kuhusu hali ngumu maana tumejaa.
Best nasso zaidi ya mond maan kuna siku nilkua bush mzee alinijazia hatari uwanja wa mpira ulipgwa makuti
 
Best nasso zaidi ya mond maan kuna siku nilkua bush mzee alinijazia hatari uwanja wa mpira ulipgwa makuti

[emoji23][emoji23][emoji23] naona wadau wamekomaa watu wamejaa wakati iko wazi lazima wajae maana hapa nilipo tu tumejaa na siku kama ya leo idadi ya watu sio jambo la ajabu hata mortuary leo itafurika.
 
Back
Top Bottom