Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiunganisha Na Shati La Peter Msechu, Unatengeneza Kabisa Hema La Wakimbizi Kutoka Burundi Na KongoUkiunganisha na ya mkubwa fella unafunika bombadier yetu
Kwanini mnapiga picha upande-upande.
Hahahahaaaa imenibidi nicheke tu unataka picha zipi labda maana kila picha hutakiKwanini mnapiga picha upande-upande.
Hebu wekeni picha kamili.
[Emoji23] [Emoji23] ukaunganisha na la Jb unapata paa la kuzuia mvua magogoniUkiunganisha Na Shati La Peter Msechu, Unatengeneza Kabisa Hema La Wakimbizi Kutoka Burundi Na Kongo
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] mwee jamaniiMmmmh hivi huyu msela ana familia?maana huu umri wa 50+ ni wa magonjwa ya kisukari na tezi dume.... kama hana kids basi imekula
[emoji23][emoji23][emoji23] hata huku kanisani tumejaa kweli mbna hatusemii[emoji23][emoji23][emoji23] naona wadau wamekomaa watu wamejaa wakati iko wazi lazima wajae maana hapa nilipo tu tumejaa na siku kama ya leo idadi ya watu sio jambo la akabu hata mortuary leo itafurika.
Picha ina focus hii mkuu bdo cjashawishika watu wa photographer tunajua kila aina ya picha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu hii shuhuli yenu bila janja-janja haiendi tumeshawaelewa.Hahahahaaaa imenibidi nicheke tu unataka picha zipi labda maana kila picha hutaki
Ukiunganisha Na Shati La Peter Msechu, Unatengeneza Kabisa Hema La Wakimbizi Kutoka Burundi Na Kongo
Na wamegoma kujaza.Diamond kanunua watu ili wajaze show.
... In janja janja's voice.
Ngoja tusubiri ripoti kutoka kwa sipendi kujionyesha.Na wamegoma kujaza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Show imefana hatarii....