MDANGANYIKAJI
Member
- Jan 27, 2011
- 77
- 59
Si kweli Darassa kajaza jana na yupo peke yake hamna cha Clouds wala Vera Sidika. Wacha maneno weka muziki....Kitu kimoja wazi leo nikuwa hakuna msanii yoyote Tz akajaza ukumbi peke yake bila kushirikisha wengine mpaka wavaa vichupi. Safari ndefu bado.