Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Kitu kimoja wazi leo nikuwa hakuna msanii yoyote Tz akajaza ukumbi peke yake bila kushirikisha wengine mpaka wavaa vichupi. Safari ndefu bado.
Si kweli Darassa kajaza jana na yupo peke yake hamna cha Clouds wala Vera Sidika. Wacha maneno weka muziki....
1482641928338.png
 
Akili zangu unataka uzielewe wewe kama nani?Zikusaidie nini?
IQ yangu ikiwa ndogo wewe una hasara gani?
Sawa sina exposure, wewe inakuhusu nini?

Mimi ambaye akili zangu huzielewi,IQ ndogo,sina exposure unanifuatilia...huoni kama wewe ndio hujielewi,IQ ndogo na huna exposure kwa kumfuatilia unayesema ana IQ ndogo?
Ungekuwa na akili kubwa ungejali kuhusu mtu usiyemjua?
Idiot
Nastic girl with profound
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Siku hizi kuunganisha picha imekuwa dhambi [emoji23]

Hivi kabisa mnadhani tungeandaa show bila kuwa na uhakika kuwa itatulipa??

Sisi wafanyabiashara, hatujaandaa show Ili kujifurahisha..

Kwahiyo lemutuz amedanganya?? Millard ayo amedanganya?? Hebu tupeni nyinyi picha za kweli..
We ndo ulete picha ya kweli iliyopigwa angle zote
 
Akili zangu unataka uzielewe wewe kama nani?Zikusaidie nini?
IQ yangu ikiwa ndogo wewe una hasara gani?
Sawa sina exposure, wewe inakuhusu nini?

Mimi ambaye akili zangu huzielewi,IQ ndogo,sina exposure unanifuatilia...huoni kama wewe ndio hujielewi,IQ ndogo na huna exposure kwa kumfuatilia unayesema ana IQ ndogo?
Ungekuwa na akili kubwa ungejali kuhusu mtu usiyemjua?
Idiot
Povu la mwendo kasi
 
WATU WACHACHE SANA HATA WA DARASA KULE BABATI WAMEZIDI
Inaa kwa usiku mmoja umeudhuria shoo mbili mikoa miwili tofauti?? [emoji15] [emoji15]

Umehudhuria shoo ya jangwani and at the same time umehudhuria babati??

Kama sivyo kinachokufanya uwe mwepesi kuamini na kusifia na kugalagala ukiona picha za babati ni nini ilhali ukionyeshwa picha za jangwani huamini??

Daahh mko desperate aisee.. [emoji17]


# WCB # WinneraCycle
 
Kama duniani kuna wazee wanajutia siku waliyopiga bao wakatunga mimba za watoto wao flanflan bado mzee malechela analaani siku hiyo bao la huyu kijana wake....fuc$#@k the day he was born a bastard
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ila kweli hata mimi huwa namfikiliaga sana huyu lemetuz kwa umri alaiokua nao,,hvi kanza ana matoto kweli huyu
 
Watanzania sisi ni watu wa ajabu ogopa sana, ndio maana diamond magazeti yameandika weee kua anguko la diamond, lakini dogo hashuki, nazani wenye roho mbaya wanaona anachelewa kushuka, ili baadae watumie kama rejeo kuwatisha wengine wenye mafanikio, waseme alikuwepo diamond
Umenena Mkuu! Huu mwaka wa tatu sasa magazeti uchwara yanaandika utaniri feki "anguko la diamond limefika" lakini jamaa daily anapiga hatua elfu kwenda mbele..
 
My country Tanzania. Tunachangamoto sana. Yaani siye furaha yetu MTU aharibikiwe au akose. Eti imebuma. Hongera diamond kujaza watu zaidi ya elfu kumi kwa 30, na kilo 1 siyo masihara...
Najua watani zenu upande wa pili watakuwa wamezima simu.
Kwa ukumb gani wenye uwezo wa kujaza watu elf kumi hata watu mia 2 hapo wakutafuta
 
Back
Top Bottom