davie dee
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 934
- 1,213
Wacheze na angle zote wasituletee ujuaji hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa watu wanatuona mambugila sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacheze na angle zote wasituletee ujuaji hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa watu wanatuona mambugila sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana mkuuila kama umekuja na picha zako mfukoni ivi maaana hutaki kabisa kuziamini hizi hebu leta zako hizo hata kama wanaimbia viti au mchanga..
Chuki amekufunza nani hukuzaliwa nayo..
Kwani hilo bukta la fela hujaliona au au lipo sawa. Umenichekesha sana aiseehilo tisheti la lemutuz ukilichana kitambaa chake unaweza kushona suruali zangu 10.
aaaaaaaarghrrrrr mwanaume unasema veeepe lol.......Hahaa ugonjwa huo veeepeee umepanick
Kwahiyo kutokuwepo kwa ripota wa EATV au "watu wenu", sisi tuwasaidieje kwenye hilo???
Mlitaka twende tukawabebe makwao ili "waje kuhakikisha"..
Ukitaka picha za tukio ingia page ya lemutuz, millardayo.com, page ya kifesi, page ya wasafi, issaazam, almaszambele, ingia sasa hivi utapata picha za tukio..
Kutokuwepo kwa hao "watu wenu" sisi hatuna namna ya kuwasaidia..
Taarifa ni kwamba ntu ni nyomi! Its sold out..
Mkuu leta picha ya tukio bila ku-crop.Ukimchukia mond unjitafutia ugonjwa
Shemeji pita mitandaoni huko kwa watu wetu wa press! Picha zipo kibao..Shemeji weka picha bila ku-crop kuthibitisha kuwa hii show haijabuma.
daah kaka naomba unipe wasifu wa huyu mtu hata kidogo tu nimjue, mana kila siku lazima kuna uzi hata mmoja ambao unamtaja huyu mtu.Lemutuz bonge la bwana
Huyo Ni d ommyMsanii tena huyo hajachana nywele?
Aliyepaniki n ww unaessma picha za kueditiHahaa ugonjwa huo veeepeee umepanick
Asante kwa kuwa mfuatiliaji mzuriKimenuka mpaka ucrop picha ya le mutuz wakat ww haujaendaaa
Pole SanaPicha na maktaba
Cc Fiesta 2014
Eatv wako bize wanaamuandalia kibakuli tuzoAcha zako hizo wewe.
Picha za kuunga manake zimekuwa cropped.
Kwanini msiweke picha mojamoja?
Halafu inaingia akili picha za eneo moja kuunganishwa?
Picha zote zimepigwa karibu na stage halafu zimeunganishwa?
Jeez...something must be wrong.
Halafu Millard Ayo,Le Mutuz wote ni watu wenu.
Angekuwepo ripota kutoka EATV sawa.
Period
ila kama umekuja na picha zako mfukoni ivi maaana hutaki kabisa kuziamini hizi hebu leta zako hizo hata kama wanaimbia viti au mchanga..
Chuki amekufunza nani hukuzaliwa nayo..
Imebuma mkuu cheki watu walivyokuwa wachache sana kiingilia 30,000 unadhani nani ataingia usawa huu wa magufuliShemeji weka picha bila ku-crop kuthibitisha kuwa hii show haijabuma.