Alikuwa anafanya biashara ya vipodoz
Hawa ndy wale wa mwanzo waliyoanzaga biashara hii na wakina sauli
Ova
Sema vipodozi feki na kundi lao kama vile walielezana hawana shobo na media kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anafanya biashara ya vipodoz
Hawa ndy wale wa mwanzo waliyoanzaga biashara hii na wakina sauli
Ova
ALikuwa anauza Vipodozi enzi za Sauli S.H AMON 😀 😀 😀 😀 😀 pigia mistari...Hata Sauli naye alitajirika kwa vipodozi 😎😎😎😎😎😎.Mbona mnaficha biashara yake ile iliyompa utajiri?
Wabongo kwa unafiki
Ok simfahamu
wengi hawajui hata bei za bidhaa za S.H Amon .ALikuwa anauza Vipodozi enzi za Sauli S.H AMON 😀 😀 😀 😀 😀 pigia mistari...Hata Sauli naye alitajirika kwa vipodozi 😎😎😎😎😎😎.
mrangi ni noma hakuna habari za Town hajui ,iwe ya zamani au ya sasa ,Salute Kwake!!
Mkuu embu funguka ni biashara gani isiyo halali ilitomtajirisha?
Na huo u monster wake ni upi.
Kiukweli hata mimi hii ya vipodozi mpaka kujengewa watu nyumba na kulipa mshahara haijaniingia akilini.
Mbona humu tunamjadiligi Kanyau na yeye amejenga msikiti ana lisha mayatima mtu wa watu lakini huwa tunaongelea biashara yake ya Ngada.
Nitashangaa kweli kuliliwa na magomeni yote na kariakoo isiwe biashara ya unga.
Mbona mnaficha biashara yake ile iliyompa utajiri?
Wabongo kwa unafiki
Sema vipodozi feki na kundi lao kama vile walielezana hawana shobo na media kabisa
Mwamba kitambo tangia akiwa na mgahawa wake mpk Kuja kutoboa.... Huyu mtoto wa msasani
Ova
Allah amjaalie pepo mwamba zingizi my role model nilianza kumjua huyu 2010 alikuwa akidhamini mawlid pale masjid muzdalfa ni balozi mzuri Sana wa mtume Muhammad swalallah alaih wasalam.alikuwa akiwalipa maimamu na masheikh na si mtu wa media km wafanyavyo watu wa kidunia wengine ndio maana hujasikia media yeyote ikitangaza kifo chake lakini habar zake zimetapakaa dunia nzimaSalaam wana jf
Natumaini wote ni wazima wa afya na poleni na majukumu ya hapa na pale. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza sina budi kurudia rudia.
Mnamo 29/11/2019 huko south Africa ila jina la hospital silijui kuna mtanzania mfanyabishara mkubwa na mwanazuoni kwa jina la Alhabib alhaj Aziz Massanga alias ZINGIZI aliaga dunia,lakini akuwa maarufu kama wengine wakiwa na ukwasi.
Sikuwa namjua ila mnamo tarehe 2/12/2019 pita pita zangu mitaa ya magomeni nilionana umati wa watu wakijipanga kupeleka mwili wa MAREHEM katika makaburini ya msasani,sikuishia hapo niliingia kwenye akaunti ya Instagram ya msemaji wa simba nikaona CLIP ya umati wa watu wakilia si waarabu, si waafrika walikuwa wakilia uku wakisindikiza mwili makaburi.
Mwenye kujua maisha ya MAREHEM AL HABIB Alhaj Massanga alias ZINGIZI(mzaramo aliyeliliwa hadi na waarabu, waafrika, wahindi ni nani huyu?
Mwenyezi amuweke mahali pema peponi Mwamba ZINGIZI.
Born:1973
Died:2019
Innallihai wainallillah rajiun
Nimeishi kama mpangaji kwenye nyumba yao Msasani, karibu na Capetown Fish Market wakati huo ikijulikana kama Irish Pub.
Hawakuwahi kupangisha mtu wa dini ya Kikristo isipokua mimi na nilikua mpangaji wa mwisho kwenye ile nyumba. Niliishi nao vizuri tukawa kama ndugu tukaelewana nao sana. Aliwajali sana familia na ndugu zake. Hakua mtu wa maneno mengi, mkimya sana. Mara ya mwisho kuonana nae ilikua kwenye msiba wa mdogo wao aliyeuwawa na wezi akiwa anafunga duka lake.
Mama yao Bi top yuko magomeni na ndipo msiba ulipokua. Msiba huu ni pigo kwa famia. Nyumba zao za Msasani ni yeye alikua akizuia zisiuzwe. Aliamua kuwaweka wajomba na ndugu zao wengine pale.
Moja iko barabarani kabisa na nyingine karibu na msikiti wa Msasani kwa wavua samaki.
Mengine ntanyamaza ila kwa hayo machache alikua mtu wa watu sana. mrangi nimekuelewa sana. Pia kwenye msiba wa mdogo wake Zingizi (Haroun) nilishangaa kukutana na Jimmy CM kitu kilichofanya nianze kujiuliza maswali kuhusu fununu kwamba marehem alikua wale ndugu zetu.
Kuhusu biashara zake kuna mengi sana yalikua yanasemwa lakini kwa vike haikua ikinihusu, sikuwahi kufuatilia wala kutaka kujua ukweli wake.
Ni Kweli jamaa alikuwa muislam sana
Jamaa namjua Enzi hzo Nakumbuka alikuwa na mgahawa kinondoni na yeye alikuwa anauza
Nikaja mkuta wakati fulani border ya zim na South afrika nlimkuta akionekana mtu ambaye yuko njema..... Wakati huo sisi tulikuwa tunaleta magari kutoka dizonga Kuja dar.....
Jamaa akaniambia nmtafute Kuna mchongo Kweli nkamtafuta ndy akanipa line moja ya kununua maziwa toka Zimbabwe ya super milk
Wakati huo zim uchumi uko vzr...... Nakumbuka mtaji aliniboost
Khsu hyo minongono watu wanasema ila kwa uzoefu wangu na kufaham watu wengi waliyofanikiwa maisha Yana siri sana
Usione mtu kafanikiwa
Ila tu jamaa alikuwa peace sana na syo mchoyo wa kutoa connection alikuwa anapenda sana
Kuona mtu unatusua
Mm na yeye shida ilikuwa mm ni mtu wa masangaa sana hapo ndy palikuwa na shuguli
Ova
Katika uislam kuna kutubu baasi ukitubu unasehemewa na Allah s.wRaynavero atalipwa kwa matendo mazuri?
Je mabaya?
Watanzania tuache unafiki huku tunajua ukweli
Unafiki haufai, kila mtu apewe sifa anazostahili
Huyo mtu mnavyompamba hadi malaika wanakasirika
basi tuonyeshe mabaya yake tuyajue , kumbuka hakuna asiye na mapungufu kama binaadamu kama alitenda mema kwanin yasizungumzwe alaf mbona unaumia hivi, kwema?
Ni alikuwa anauza madawa ya kulevya hilo halina ubishi...'Hata kama alikua muuza ngada lakini bado alitumia katika njia sahihi'
Unasema?
Katika uislam kuna kutubu baasi ukitubu unasehemewa na Allah s.w
Maovu yako hayahesabiwi na uache chuki we kaka mweee!!
Roho mbaya tuu!!!sijui hata alikukosea nini!!!unajifanya huelewi kitu hebu muache apumzike yaani we pekee ndo unamsema vibaya hujioni we ndo mtata!!
Huu ndio uislam sasa..ambao hata mpagani akielezwa anasema hakika fulani alikuwa mwema.Alikua tajiri asie na makuu Mwenye kuheshimu kupenda kujali na kuthamini mayatima na wahitaji
Aliwahi mjengea Nyumba jirani wa mama yake magomeni baada ya Nyumba kuungua alipofika na kuambiwa akasikitika kesho yake akaja na mafundi kwa suprise akamjengea Nyumba mpya na akannua na fenicha mpyaaaa.
Ya Pili aliwannulia Nyumba maimamu na masheikh akawa amewaweka msasani na mikocheni wakawa wanaishi na anawalipa kwa mishahara wakawa wanaishi good life
Wanalia wanawaza nani atasimamia shoo zote kirahisi hvyooo!!!wameumbuka mnoooo!!
Mimi binafsi namuombea Allah s.w ampe kitabu kwa mkono wa kulia
AmeenAllah amjaalie pepo mwamba zingizi my role model nilianza kumjua huyu 2010 alikuwa akidhamini mawlid pale masjid muzdalfa ni balozi mzuri Sana wa mtume Muhammad swalallah alaih wasalam.alikuwa akiwalipa maimamu na masheikh na si mtu wa media km wafanyavyo watu wa kidunia wengine ndio maana hujasikia media yeyote ikitangaza kifo chake lakini habar zake zimetapakaa dunia nzima