Wanaume wengi wanachukulia ukicheche mdada akimtongoza wanapenda wao watongoze
Kutongozwa siyo dhambi bwana ni raha pia au mpaka upige swaga uzungushwe ndo uamini unapendwa hapana mkuu ukitongozwa tena furahi afu kubali usikatae utapenswa we mpaka bas
Jembe acha ukorofi basi
Ondoa ukimya mdada mwambie tu au kama vip fanya juu chini upate namba ya cm then unaanza kwa ku sms na kumtaja jina mfano" john habari za asubuhi nikutakie kazi njema" anza hivyo kwanza hala utayaona maendeleo na usisite kurudisha jibu.Habari wapendwa, imekuwa ni kawaida na ndio naona ni kama style ya sasa kina dada kutongoza wanaume najiuli hivi ni wadada wangapi waliotongoza wanaume na wakafanikiwa kimapenzi.na wakaolewa na hao wanaume mpaka leo mapenzi yao yapo strong hata kama jf wapo embu njooni mtupe uzoefu wenzenu ambao hatujawai kufanya hivyo labda ni kwa ushamba au sio utamaduni karibuni MMU .
Mi mwanamke akinitongoza nahs huyo ndo atakuwa na upendo wa kweli kwangu, nitampenda mpaka basi.
Ila asitoke JF
Mie wife alinitokea..niko nae Bado
Jamani hebu mwageni mauhondo vizuri....kwa hiyo mwanaume wakati wa mtongozo huwa anasugua vidole au? manake unaweza kuuvamia uso wa mbuzi unakukata jicho mpaka unasahau maneno....lol.
Halafu kuhusu majibu vipi? Na wao wana zile swaga za "nipe muda nikafikirie" au wanakubali hapo hapo?
Halafu mechi ya ufunguzi nani huwa anatoa mwaliko?
Hebu mwageni madata jamaniii.....!
Try me..