i have been a victim on several occasions and i used to find it scary..
ila nimekuja kugundua kwamba ni kitu cha kawaida sana. for how long are you going to die deep inside?
Jamani hebu mwageni mauhondo vizuri....kwa hiyo mwanaume wakati wa mtongozo huwa anasugua vidole au? manake unaweza kuuvamia uso wa mbuzi unakukata jicho mpaka unasahau maneno....lol.
Halafu kuhusu majibu vipi? Na wao wana zile swaga za "nipe muda nikafikirie" au wanakubali hapo hapo?
Halafu mechi ya ufunguzi nani huwa anatoa mwaliko?
Hebu mwageni madata jamaniii.....!
Jamani hebu mwageni mauhondo vizuri....kwa hiyo mwanaume wakati wa mtongozo huwa anasugua vidole au? manake unaweza kuuvamia uso wa mbuzi unakukata jicho mpaka unasahau maneno....lol.
Halafu kuhusu majibu vipi? Na wao wana zile swaga za "nipe muda nikafikirie" au wanakubali hapo hapo?
Halafu mechi ya ufunguzi nani huwa anatoa mwaliko?
Hebu mwageni madata jamaniii.....!
hahahah mependa usongo wako wa kutaka kujua hii mambo, mwenyewe nasubiriaje uhondooooo...
Naomba nikutongoze!
I am not handsome..
Paw ya kweli haya? 🤣Mie hapa nilimtongoza paw na tuna miaka 10 sasa.
DuuhMie mwanafunzi alinambia, waweza nisubiri nimalize chuo unioe? Sikumjibu kitu, sasa ni miaka kumi na tano kama mke ni mme.
😊Kuna mwanaume nilimtokea humu humu Jf... Kwa raha zetu saivi ni mke na mume...!
Usione noma wee muimbishe tuu huyo jamaa mpaka akuelewe..!!
AISEEMimi yashanikuta sana haya ya kutongozwa!kuna wadada ni makauzu acha tu!wanaimbisha kushinda wanaume, halafu sasa inafika point hadi unamkwepa yaani inakuwa kama kero!...
Evelyn SaltMi ninampango wa kumtokea Evelyn Salt sijui atakubali?
🤣Nilishawahi kutongozwa na mke wa mpangaji mwenzangu chumba jirani tu nikamgegeda nikahama na nyumba!
paw mudi?Mie hapa nilimtongoza paw na tuna miaka 10 sasa.