Natamani kujua utamu wa pombe!!!

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,378
Reaction score
56,047
Eti wananzengo sijawahi kunywa hata kizibo(sijisifii) ila watu wangu wa karibu wengi wao wanywaji wazuri tu.

Kuna muda natamani kuonja ila nafsi inagoma kabisaa yaani!
Utakuta nimekaa na washkaji wananishawishi ila najikuta nagoma hii imenifanya mara nyingi sipendi kutoka usiku sana kwa kua silewi maana utakuta miye peke yangu nanywa maji sana tu au Bavaria kampani yote wao watumia vilevi!

Nishawishini walau nioje siku moja tu halafu nisinywe tena maana wengi wanasifia pombe tamu!walau tu nionje na miye kaaahh!
 
Siku ukiwa na matatizo mengii na hujui ufanyeje kila kitu kinaenda kombo, kunywa chupa moja na nusu. Usisubiri mpaka ue na pesa
 
Hujataka kujua, ungekuwa umeshaonja. na hao washkaji zako wazembe sana, kama ni mm wiki moja tu ungekuwa cha pombe. kama vipi jaribu kunywa reds japo mbili. ni tamu kama juice
 
Hivi unaanzaje kuacha jamani daah pombe tamu sana
Yani tamu mnooo plus mishikaki [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]

Hiyo inaitwa hakuna kulewa.

Nimeshaimiss ile chupa ya kijani [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…