Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Sasa unaacha ili ugundue nini?? Kuna mdada anaitwa Tommie napendaga anavyopenda kulewa. Yani yeye kila nikimuona kwenye tv keshapendeza. [emoji23][emoji23]Hivi unaanzaje kuacha jamani daah pombe tamu sana