Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwezi kabisa.Yani naombeni mnitaarifu msinisahau tafadhali [emoji23][emoji23][emoji23]
Burdaaani kabisaWalevi nyoyo zao zipo mruaaa kwa hii mada.
cc: Mzigua90, Cha mdeko, Shunie na wengineo.
Kwa mfanoo au anakulipia kodiKwani ukiwa mlevi kuna mtu anakulisha humu jf
Anza sasa.Nataka sana
Toa maoni
Jumapili uje hivyo hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]miye mpk mwezi uishe woyoooo!!
Shunie,mzigua,sweetlee na the don himself plizzzzz +bonyyyy
Kumbe unatakaje saaa!!!Mfyuu zako
Why unataka? Sio kitu kizuri hata cha kutamani. Sijawahi kutamani na wala sitotamani. Hao walevi wenyewe ukiongea nao honestly hawapendi ila ndio waahajikuta huko.[emoji3][emoji3][emoji3]pampula tena hapana nataka ile ya kispoti spoti
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]sawa my binamuWhy unataka? Sio kitu kizuri hata cha kutamani. Sijawahi kutamani na wala sitotamani. Hao walevi wenyewe ukiongea nao honestly hawapendi ila ndio waahajikuta huko.
Duh![emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]Karibuni ....View attachment 795076
Njoo kwa Shayo tugonge kadhaa za kulalia[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]sawa my binamu
Nimekusikia vzr kabisaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmefikia maamuzi ganii jamanii unakunywa hunywiii??