Ukimcheki ukubali kupewa masharti ya ajabu ajabu.Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu
Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.
Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this
Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.
Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?
Daah nipo dilemma mwenzenu
Mapenzi mapenzi mapenzi
Ni maumivu tu badala ya furaha
Nakufa kijerumani na tai shingoni
Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Asante kwa ushauripotezea acha udhaifu
Shukrani sana kaka 🙏Kaza mwana, mimi nilikaza miezi mitatu mpaka alipojichatisha.
Wacha hizo mambo za hisia mkuu.Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu
Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.
Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this
Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.
Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?
Daah nipo dilemma mwenzenu
Mapenzi mapenzi mapenzi
Ni maumivu tu badala ya furaha
Nakufa kijerumani na tai shingoni
Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Usimtafute hivyo hivyo mkuu. Hizi ndio chance watu huzitumia kupata wenzi wao.Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu
Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.
Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this
Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.
Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?
Daah nipo dilemma mwenzenu
Mapenzi mapenzi mapenzi
Ni maumivu tu badala ya furaha
Nakufa kijerumani na tai shingoni
Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Asante sana kwa ushauri 🙏Fanya kile kitakachokupa amani ya moyo!
Kama kumcheki ndio utapata amani ya moyo basi mcheki, na kama kumkaushia ndio kutakupa amani ya moyo basi mkaushie.
Asante kwa ushauri 🙏Usimtafute hivyo hivyo mkuu. Hizi ndio chance watu huzitumia kupata wenzi wao.
Ukimya wako, ni sherehe kwa jamaa mwingine.
Asante sana kwa ushauriEeh jamaa kadri unavyompa muda wa kua free ndo anatengeneza mechanism ya kukuondoa kwenye maisha yake,
Kama bado unampenda mcheki tu angalau ujishikize, kama ni wako mtadumu kama sio bas ita jisolve iko mbeleni