Bora umejilipua mkuu.
Ni wajibu kujibu licha ya kwamba najua kuna watu wame Ignore post kwa kuona Milioni mbili na Salon ya Kisasa.
Kwa ufupi Haiwezekani.
Salon ya kisasa kwa kwa mtaji mdogo sana nahisi angalau uwe na Milioni 10 kwa mkoa wako na maeneo ya kawaida.
Maana milioni mbili Hata Mlango wa Aluminum,Vioo na Displays haitoshi
Mimi ningekushauri uanze na hiyo hiyo milioni mbili japo haitakuwa ya kisasa kama ulivotegemea ila anza na hiyo hiyo pesa uliyonayo na kadiri muda unavokwenda utapata experience na mtaji utakuwa na kukuwezesha kumiliki ya kisasa zaidi.
Do not wait: the time will never be 'just right'. Start where you stand, and work whatever tools you may have at your command and better tools will
be found as you go along.
Napoleon Hill
Anza na hyo cash ulinayo mku mengne bdye