Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
kongosho kwa hilo sina uhakika nalo,mana la moyoni mwa mtu ni giza nene,,pia tatizo jingine yupo mbali na mimi,mkoani so ni ngumu kujua baadhi ya mambo
Alafu wewe......?
mh kukaa miaka huku mwenzio anadai usiku na mchana ndoa kichwaniwewe utamu ni mwanaume au mwanamke?
kukaa mwaka mbona sio kazi?
watu wanakaa miaka...
unachosema ni kweli kabisa,nt nimejaribu ku consider hata zile factor ndogo kabisa lakini bado sipati,,kuhusu la kuwaomba msamaha nimejitahidi kwa asilimia 60,,wote niliowahi waumiza au watenda nw nipo nw vizuri bt walio baki kila napo pata nafasi namwomba Mungu anisamehe on behalfmwanamke akipenda anapenda kweli, siwezi kukuhukumu kwa kuwaumiza wadada wa watu myb ulikua ni ujana. ila amini usiamini ogopa sana kumuhumiza mtu nafsi yake in future, you will pay it.......
tatizo la vijana wengi tukiwa tunatafuta mchumba factor kubwa tunayo. consider Mara nyingi ni je? kifaa nachotaka weka ndani ni chaukweli? jamaa zangu wata appreciate? mi naamini wanawake kuna wanawake wengi tu ambao ni wife material ila boys ndo tunamatatizo!!!! tafuta mwanamke unayezani unaweza fanya nae maisha then funga ndoa, dnt care what others are just thinking about you.....ila lazima ukawaombe msamaha wale wote uliowaumiza nafsi zao unless mambo yako yataenda ovyo daima...
unajua mara nyingi watu wanakuwa kwenye uhusiano bila kutambua wapo kwa ajili gani,,inwezekana ni mazoea ndo yanafanya watu waendelee kuwa pamoja japomapenzi yamepungua,,Kwani we "nakupenda lakini nna mpenzi wangu" unaitafsiri vipi?
mh kukaa miaka huku mwenzio anadai usiku na mchana ndoa kichwani
we umewahi kukaa muda gani mrefu kabisa bila ku do?
yani kabisa the boss, unachowatendea wenzako leo lazima matendo yako yatarudi, wadada wa watu waliumia mioyo yao.wanasema KARMA IS A BITCH........
vyovyote vile matendo yako yanakurudia......
ushauri wangu kwako ni kuwa ndo hailazimishwi kwa kukomaa na mtu eti hadi kieleweke....
hebu jaribu kuacha kutafuta mchumba kama mwaka mzima hivi na ikibidi ufanye maombi....
halafu watafute wale wooote ulio wakosea zamani ukaombe msamaha au kuondoa 'black cloud' kati yenu....
jisafishe kwanza kwa sala na kukaa mbali na uzinzi.....na jifunze kuwa kawaida hivi.....
yani kabisa the boss, unachowatendea wenzako leo lazima matendo yako yatarudi, wadada wa watu waliumia mioyo yao.
lakini always kuna second chance, afwate tu ushauri wako and i hope things will work out.
swala la jinsia halitatatua swali la ndugu yetumi nimewahi kukaa miaka miwili..
wewe mbona hujibu swali?
anyway ndo mana nimesema you deserve second chance.lakini sister,mbona na mimi9 nilishawahi kutendwa sana tu?
kwani hao wa zamani ulikuwa unawapataje? anza kuwatafuta kwa maombi.naanzaje kutafuta upya?
hiyo miaka miwili ulienda kujifungia wapi ili vishawishi visikupate, mana duh.mi nimewahi kukaa miaka miwili..
wewe mbona hujibu swali?
kismatik kimepungua kabisa cha kukutana nao, pole ndo mana unataka kumrudia wa zamani.ilikuwa inatokea tu nakutana nw
bt nw adys hali imebadilika kabisa
sikutani nao kabisa
ulijiloga mwenyewe, anyway take time mungu ni wa wote mambo yatakuwa powa ila usitafute kwa pupa nenda taratibu utampata si unajua hata ukiwa umepoteza kitu ukiwa unatafuta kwa haraka ukipati lakini baadaye unakuja kukipata sehemu ambayo hata ukuitegemea so tulia tu nenda taratibu.yani hata sielewi aisee
kismat kimeenda wapi,kama nimelogwa vile