mwanamke akipenda anapenda kweli, siwezi kukuhukumu kwa kuwaumiza wadada wa watu myb ulikua ni ujana. ila amini usiamini ogopa sana kumuhumiza mtu nafsi yake in future, you will pay it.......
tatizo la vijana wengi tukiwa tunatafuta mchumba factor kubwa tunayo. consider Mara nyingi ni je? kifaa nachotaka weka ndani ni chaukweli? jamaa zangu wata appreciate? mi naamini wanawake kuna wanawake wengi tu ambao ni wife material ila boys ndo tunamatatizo!!!! tafuta mwanamke unayezani unaweza fanya nae maisha then funga ndoa, dnt care what others are just thinking about you.....ila lazima ukawaombe msamaha wale wote uliowaumiza nafsi zao unless mambo yako yataenda ovyo daima...