Ukisikia malaya ni mwanamke, kahaba ni mwanamke, changudoa
ni mwanamke, dada poa ni mwanamke, nyambizi ni mwanamke
siku hizi kuna MJASILIAMWILI ni mwanamke. Hivi ninyi wanaume
tuelezeni hapa kama kungekuwa na kipimo kila uki... kinaonyesha
Mita kadhaa au kilomita........ Kweli mngetamanika......................
Hebu njooni hapa mmoja mmoja zingesomeka mita au kilomita
ngapi? Mkome kutuanzishia majina mabaya.
thio issue thana but wat dha kwenu.?
Ukisikia malaya ni mwanamke, kahaba ni mwanamke, changudoa
ni mwanamke, dada poa ni mwanamke, nyambizi ni mwanamke
siku hizi kuna MJASILIAMWILI ni mwanamke. Hivi ninyi wanaume
tuelezeni hapa kama kungekuwa na kipimo kila uki... kinaonyesha
Mita kadhaa au kilomita........ Kweli mngetamanika......................
Hebu njooni hapa mmoja mmoja zingesomeka mita au kilomita
ngapi? Mkome kutuanzishia majina mabaya.
9....atmtatizo haya majina yanatumika kama sifa wakati yale ya kwetu ni
kashfa!
Tatizo haya majina yanatumika kama sifa wakati yale ya kwetu ni
kashfa!
Uzuri wa hiyo mita ingekuwa ukipunguza speed na spidi ya
Nanihii inapungua pia!
Ukisikia malaya ni mwanamke, kahaba ni mwanamke, changudoa
ni mwanamke, dada poa ni mwanamke, nyambizi ni mwanamke
siku hizi kuna MJASILIAMWILI ni mwanamke. Hivi ninyi wanaume
tuelezeni hapa kama kungekuwa na kipimo kila uki... kinaonyesha
Mita kadhaa au kilomita........ Kweli mngetamanika......................
Hebu njooni hapa mmoja mmoja zingesomeka mita au kilomita
ngapi? Mkome kutuanzishia majina mabaya.
interesting!
mcharuko,ikiwekwa mita labda iwe digital. manake utakua umewataftia tenda mafundi gereji ya kurudisha mita nyuma kama wanavyofanya wenye magari.
Umekosea......... wanaume wasiotulia wana majina yao....
1. Kiwembe
2. Kifagio
3. Kikaango
4. Kibuzi
5. Mla vichwa
6. Kamchape
7. Zungulukee
8. kidume
9. ..............................
10. ............................
Raha yake the more mita yao inasoma the more utamu, unlike us, tunazeeka tukitumika sana
Raha yake the more mita yao inasoma the more utamu, unlike us, tunazeeka tukitumika sana
kama wewe ingesomeka 0 sm inamaana wewe ni bkra???duh! Hiyo mita kiboko mcharuko kweli mungu katunusuru
lakini hata kwenu si ingekuwepo? Mimi ingesomeka 0 sm.
Kuna watu wanatoka nje ya ndoa ina maana wakirudi
nyumbani distance inakuwa imesogea...... Mh hii kali.
9.atm
10.fataki
Tena hizo kitu zao zingekua penseli, nadhani vingebaki vifutio tu, kila mmoja wao.