Natamani kungekuwa na mita ya wanaume!

Natamani kungekuwa na mita ya wanaume!

uzuri wa hiyo mita ingekuwa ukipunguza speed na spidi ya
nanihii inapungua pia!
kwikwikwi wangekamatika kama wakirudisha mita nyuma spidi ya mtalimbo nayo inapungua tehetehe safiii sanaaaa

ila pia utawatambua kwa urefu wa mtalimbo wakifanya sana urefu unaongezeka
 
Ukisikia malaya ni mwanamke, kahaba ni mwanamke, changudoa
ni mwanamke, dada poa ni mwanamke, nyambizi ni mwanamke
siku hizi kuna MJASILIAMWILI ni mwanamke. Hivi ninyi wanaume
tuelezeni hapa kama kungekuwa na kipimo kila uki... kinaonyesha
Mita kadhaa au kilomita........ Kweli mngetamanika......................
Hebu njooni hapa mmoja mmoja zingesomeka mita au kilomita
ngapi? Mkome kutuanzishia majina mabaya.


ndo mkome
 
Una akili wewe blackberry! umejuaje lakini? Na ndio maana huwa hamchelewi kulia mkigundua mmesalitiwa, si mnajua kuwa huo ndo mwanzo wa kukutana na mdunguaji mwingine, na mwingine...... ni kama safari moja inaanzisha nyingine!! hahahaaaaaaaaa.
Yah habari ndio hiyo
 
Ukisikia malaya ni mwanamke, kahaba ni mwanamke, changudoa
ni mwanamke, dada poa ni mwanamke, nyambizi ni mwanamke
siku hizi kuna MJASILIAMWILI ni mwanamke. Hivi ninyi wanaume
tuelezeni hapa kama kungekuwa na kipimo kila uki... kinaonyesha
Mita kadhaa au kilomita........ Kweli mngetamanika......................
Hebu njooni hapa mmoja mmoja zingesomeka mita au kilomita
ngapi? Mkome kutuanzishia majina mabaya.

Kipimo kipo, siku ya mwisho kila mtu atatoa habari zake mwenyewe, mbele za Mungu.
 
Back
Top Bottom