Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Mm ni mwanaume nilie kwenye my late 20's, niliwahi kuwa na girlfriends in my late teens, Ila baadae, baadhi ya girlfriends nliokua nao niliwaacha, because sikua na malengo nao, wanajamii wengi na ndugu na marafiki wananisisitizia nioe, mm huwajibu kuwa sijakaa sawa kifedha, ila kiuhalisia hicho ni kisingizio changu, ukweli ni kuwa hata sahivi nikiwa bilionea, swala la kuoa kwangu bado litakua ni gumu mno, kwasababu haya ndio mambo ninayokutana nayo.
1) Wanawake ninaowataka mm, wengi wao wako kimaslahi, yani mdada najaribu kumtongoza, lakini nagundua anachofata kwangu ni pesa tu, hana hisia na mm, kiukweli mm sijisikii vizuri kupendewa hela na mwanamke, na sidhani kama kuna binadamu yoyote chini ya jua hili anafurahia kupendewa hela, wanawake wengi wana-fall kwenye hii category, yani wako very fake..
2) Napata attention kutoka kwa baadhi ya wanawake, kuna baadhi ya wadada wanaonesha kunitaka kimapenzi, ila daah nikiangalia muonekano wa hao wanawake, huwa natamani kulia machozi, yani hawana hata average looks. Hawanivutii kabisaaaa, hata nikijaribu kujilazimisha kuwataka, roho yangu inakataa kabisa, hivyo naishia kuwapotezea, maana kwa ninavojijua nikiwa nao kwenye mahusiano, nitakuwa najitesa.
3)Saa ingine nikimtaka mwanamke toka moyoni, process ya kumtongoza inakuwa ni kama kung'oa jino bila ganzi, utakuta namshobokeea mdada, ila unakuta mdada hajui kama nipo dunia hii, yani unakuta she doesn't give a f*ck, unamshobokea leo, mnaongea wee, kesho mtu hakukumbuki..mdada unakuta ana play head games kibao (wanaume wenzangu mnanielewa hapa)
4) EXTRA POINT: Last but not least, kama binadamu wa kawaida natamani kupata mtoto, ila saa ingine kichwani nafikiri kumleta mtoto duniani ni kumleta kwenye mateso, kwasababu dunia hii imejaa umaskini, maumivu, vita, magonjwa, bado ukifa na dhambi ndogo tu uende ukachomwe kwenye moto wa milele, kama binadamu Kabla ya kuzaliwa tungekuwa tuna uwezo wa kuchagua kuzaliwa duniani au laa baada ya kuoneshwa dunia jinsi ilivyo, mimi binafsi ningekataa katukatu kuja duniani..cha ajabu hii dunia hata ukiwa pesa nyingi bado sio suluhisho, unaweza kuwa tajiri lakini, matatizo Plus maumivu yako palepale..
Kwa hizo point 3 za mwanzo nilizotoa hapo juu, hivi wanajamvi hata leo nikiwa bilionea nitaoa kweli??, sijajua nakwama wapi, kuna mwanaume humu JF anapitia, au alipitia hiki ninachopitia??
1) Wanawake ninaowataka mm, wengi wao wako kimaslahi, yani mdada najaribu kumtongoza, lakini nagundua anachofata kwangu ni pesa tu, hana hisia na mm, kiukweli mm sijisikii vizuri kupendewa hela na mwanamke, na sidhani kama kuna binadamu yoyote chini ya jua hili anafurahia kupendewa hela, wanawake wengi wana-fall kwenye hii category, yani wako very fake..
2) Napata attention kutoka kwa baadhi ya wanawake, kuna baadhi ya wadada wanaonesha kunitaka kimapenzi, ila daah nikiangalia muonekano wa hao wanawake, huwa natamani kulia machozi, yani hawana hata average looks. Hawanivutii kabisaaaa, hata nikijaribu kujilazimisha kuwataka, roho yangu inakataa kabisa, hivyo naishia kuwapotezea, maana kwa ninavojijua nikiwa nao kwenye mahusiano, nitakuwa najitesa.
3)Saa ingine nikimtaka mwanamke toka moyoni, process ya kumtongoza inakuwa ni kama kung'oa jino bila ganzi, utakuta namshobokeea mdada, ila unakuta mdada hajui kama nipo dunia hii, yani unakuta she doesn't give a f*ck, unamshobokea leo, mnaongea wee, kesho mtu hakukumbuki..mdada unakuta ana play head games kibao (wanaume wenzangu mnanielewa hapa)
4) EXTRA POINT: Last but not least, kama binadamu wa kawaida natamani kupata mtoto, ila saa ingine kichwani nafikiri kumleta mtoto duniani ni kumleta kwenye mateso, kwasababu dunia hii imejaa umaskini, maumivu, vita, magonjwa, bado ukifa na dhambi ndogo tu uende ukachomwe kwenye moto wa milele, kama binadamu Kabla ya kuzaliwa tungekuwa tuna uwezo wa kuchagua kuzaliwa duniani au laa baada ya kuoneshwa dunia jinsi ilivyo, mimi binafsi ningekataa katukatu kuja duniani..cha ajabu hii dunia hata ukiwa pesa nyingi bado sio suluhisho, unaweza kuwa tajiri lakini, matatizo Plus maumivu yako palepale..
Kwa hizo point 3 za mwanzo nilizotoa hapo juu, hivi wanajamvi hata leo nikiwa bilionea nitaoa kweli??, sijajua nakwama wapi, kuna mwanaume humu JF anapitia, au alipitia hiki ninachopitia??