Natamani kuoa na kujenga familia, ila bado kabwela!!

Natamani kuoa na kujenga familia, ila bado kabwela!!

Kaveli

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
5,443
Reaction score
8,903
Jamani wanajamii, naweza pata girlfrend/mke humu ambae ni mkweli na mvumilivu? Siku zote huwa sipendi kupretend maisha kwani truth sets me free, and honesty is always my best policy. So kwa ufupi: I'm aged 26, naishi Dar. Ndo nimepanga chumba ivi majuzi, ndani nina godoro tu. Kielimu nina Diploma. Sina kazi na nipo jobless huu mwaka wa 3 sasa. Asili yangu ni mwanza (msukuma by tribe). Am christian, nipo single kabisa and so lonely jamani.

Nahitaji msichana mzuri mwenye vigezo vifuatavyo: Anaejua kupenda kwa dhati, mwelevu, mpole, mkarimu kwa watu wote, na awe mwenye akili ya maisha. Elimu minimum form 4 na kuendelea. Sina ubaguzi wa dini wala kabila, cha msingi ni upendo wa dhati na maelewano.

Jamani am very stressful. Stress za maisha zinaninyima amani na furaha moyoni. But I trust in true luv, nahitaji faraja ya mwanamke anaejua kuwa maisha ni kutelemka & kupanda.

Any girl interested, please kindly feel free to PM me for more info kuhusu mimi. Hata kama ni urafiki tu wa kubadilishana mawazo na kuondoleana stress, karibu pia. Thanks in advance! LOVE is anywhere.
 
Jamani wanajamii, naweza pata girlfrend/mke humu ambae ni mkweli na mvumilivu? Siku zote huwa sipendi kupretend maisha kwani truth sets me free, and honesty is always my best policy. So kwa ufupi: I'm aged 26, naishi Dar. Ndo nimepanga chumba ivi majuzi, ndani nina godoro tu. Kielimu nina Diploma. Sina kazi na nipo jobless huu mwaka wa 3 sasa. Asili yangu ni mwanza (msukuma by tribe). Am christian, nipo single kabisa and so lonely jamani.

Nahitaji msichana mzuri mwenye vigezo vifuatavyo: Anaejua kupenda kwa dhati, mwelevu, mpole, mkarimu kwa watu wote, na awe mwenye akili ya maisha. Elimu minimum form 4 na kuendelea. Sina ubaguzi wa dini wala kabila, cha msingi ni upendo wa dhati na maelewano.

Jamani am very stressful. Stress za maisha zinaninyima amani na furaha moyoni. But I trust in true luv, nahitaji faraja ya mwanamke anaejua kuwa maisha ni kutelemka & kupanda.

Any girl interested, please kindly feel free to PM me for more info kuhusu mimi. Hata kama ni urafiki tu wa kubadilishana mawazo na kuondoleana stress, karibu pia. Thanks in advance! LOVE is anywhere.

Huna kazi, huna kitanda, afu bdo unaweka masharti?
 
Huna kazi, huna kitanda, afu bdo unaweka masharti?

Mkuu Jambazi, siku zote comments zako huwa za kijambazi-jambazi, na huwa siyashangai majibu coz yana-reflect uhalisia wa jina lako. By the way, mimi nimeweka vigezo/sifa na sio MASHARTI kama ulivyotafsiri wewe. Pia nikukumbushe kuwa, LIFE has options, na kila mtu ana options zake ktk maisha. So mtu kuwa hana kazi haimanishi ndo awe okota okota kwamba atapokea chochote, NO! Ila nashukuru kwa maoni yako mkuu
 
Pole sana, nakushauri, ujitahidi upate kazi kwanza maana ukipata msichana wakati huu atakuzidishia stress, ungefight kwanza ukajiweka kwenye nafasi nzuri na ukawa na uhakika wa maisha. Hivi umeshajiuliza endapo utapata msichana kisha akapata ujauzito wako wakati wewe hauna kazi? hali hio itakupa presha sana, Kazi kwanza kaka, wadada wazuri wapo tu.
 
Dah.......huna hela......!!!......hebu taja sifa nyingine mbadala inayoweza kutetea hilo swala zima la kutokuwa na pesa.......
 
Pole sana, nakushauri, ujitahidi upate kazi kwanza maana ukipata msichana wakati huu atakuzidishia stress, ungefight kwanza ukajiweka kwenye nafasi nzuri na ukawa na uhakika wa maisha. Hivi umeshajiuliza endapo utapata msichana kisha akapata ujauzito wako wakati wewe hauna kazi? hali hio itakupa presha sana, Kazi kwanza kaka, wadada wazuri wapo tu.

Mkuu Lateni, ahsante sana kwa ushauri wako mzuri wenye tija. Yeah nafight sana dada angu ili kuweka mambo kwenye msitari. Yani I'm struggling to the maximum, ila tu bado Mungu hajanifungulia mlango. Sikati tamaa wangu, am still in hope-mode! Na nikibahatika kumpata kwa wakati huu, tutajitahidi sana kuzuia ujauzito. Nakubaliana na wewe kuwa naweza pata msichana na akanizidishia stress, lakini kwa upande mwingine wa sarafu ni kwamba pia naweza pata msichana mwema mwenye moyo wa kweli na akaweza kuwa na mimi bila matatizo in compliance with my current life hardships... 'In Every Man's Success, There is A Woman Behind Him'.
Dada Lateni nashukuru kwa angalizo lako mkuu. Ubarikiwe
 
Dah.......huna hela......!!!......hebu taja sifa nyingine mbadala inayoweza kutetea hilo swala zima la kutokuwa na pesa.......

Mkuu Preta, frankly speaking... yeah sina hela! Napenda kuwa muwazi & mkweli tu, sioni haja ya kupretend maisha & kudanganya coz siku zote njia ya muongo ni fupi! I live my realities.
Sifa mbadala: I'm smart, nice appearance, mcheshi, nina Moyo wa kweli na upendo wa dhati. Pia ni mchakarikaji sana tu, naweza kumudu rent ya chumba japo nipo jobless. Nadhani nimejibu hoja yako dada Preta. Kama jibu langu halijakuridhisha na una swali la nyongeza, karibu sana, usisite.
Ahsante mkuu
 
Kamada akutakia kheri ufanikiwe katika hilo

Mkuu Manoah, nimefurahi sana kwa huo msitari wako kunitakia kheri. Ahsante sana kamanda, naamini Mungu kasikia dua zako izo juu yangu. pamoja sana mkuu. ''After Every Dark Night, There Is A Bright Day''
 
Mkuu Manoah, nimefurahi sana kwa huo msitari wako kunitakia kheri. Ahsante sana kamanda, naamini Mungu kasikia dua zako izo juu yangu. pamoja sana mkuu. ''After Every Dark Night, There Is A Bright Day''


pamoja kaka, mwanamke anamchango mkubwa sana katika maisha. I hope ukipata utapiga hatua kimaisha, atakupa hangamoto zaidi za kuongeza speed ya ku fight na hata unapo kwama anaweza kukufariji na kukupa moyo.
 
pamoja kaka, mwanamke anamchango mkubwa sana katika maisha. I hope ukipata utapiga hatua kimaisha, atakupa hangamoto zaidi za kuongeza speed ya ku fight na hata unapo kwama anaweza kukufariji na kukupa moyo.

kweli kabisa kaka, nakubali maneno yako mkuu. Mwanamke ni chachu katika mafanikio maana anashauri, anatia moyo na kufariji pale mambo yanapokuwa magumu. Ila ni mpaka umpate anaejitambua, anaejua maisha, na mwenye upendo wa dhati. Nazidi kumuomba Mungu. pamoja sana kamanda
 
Preta jamaa huenda anavaa kiatu size12,give it a try!

hahahahaa mkuu Bishanga una maono makali sana kaka. Swali lake lilikuwa 'ambiguous' a bit, ila nilimjibu kwa kadri nilivyolitafasri mimi.
 
mkuu kuoa sio lazima uwe una hela ila tleast uwe unauwezo wakutafuta hela ya kujikimu mwenyewe na huyo mwenzio utakayempata.Halafu usioe kwa sababu ya stress oa kwa sababu unafikiri unataka kuoa.
Mambo mengine yanajipanga.Mkuu mi nina kipato kidogo sana na wakati sina mke nilikuwa nikipata tu hela bajeti ya kwanza ilikuwa ni kujirusha lakini nilibahatika kuoa nikajidunduliza nikatoa mahali bila kutegemea msaada wa yeyote zaidi ya mpenzi wangu alinisaidia kidogo.

Baada ya kuoa bajeti yangu imekaa vizuri mke wangu anajua kubajetia na Mungu hamtupi mja wake nilimuoa wakati akiwa kibarua tu lakini tulipooana tu akapta kazi ya kudumu nami nikawa promoted angalau maisha yanaenda kidogodogo ila mkeo awe understanding la sivyo inaweza kuwa ni mateso makubwa kwako.

nakushauri uwe na atleast hela kidogo ya kujikimu utaoa tu.
 
mkuu kuoa sio lazima uwe una hela ila tleast uwe unauwezo wakutafuta hela ya kujikimu mwenyewe na huyo mwenzio utakayempata.Halafu usioe kwa sababu ya stress oa kwa sababu unafikiri unataka kuoa.
Mambo mengine yanajipanga.Mkuu mi nina kipato kidogo sana na wakati sina mke nilikuwa nikipata tu hela bajeti ya kwanza ilikuwa ni kujirusha lakini nilibahatika kuoa nikajidunduliza nikatoa mahali bila kutegemea msaada wa yeyote zaidi ya mpenzi wangu alinisaidia kidogo.

Baada ya kuoa bajeti yangu imekaa vizuri mke wangu anajua kubajetia na Mungu hamtupi mja wake nilimuoa wakati akiwa kibarua tu lakini tulipooana tu akapta kazi ya kudumu nami nikawa promoted angalau maisha yanaenda kidogodogo ila mkeo awe understanding la sivyo inaweza kuwa ni mateso makubwa kwako.

nakushauri uwe na atleast hela kidogo ya kujikimu utaoa tu.

Ahsante sana mkuu kwa busara zako. Ni ushauri mzuri, naufanyia kazi. Nashukuru kaka
 
chakarika mwanaume,usiwaze mapenzi kwanza,kwa maisha ya sasa,tena dalesalamu hii hakuna mwanamke wa kuvumilia hali hiyo,ni wachache sana tena wanaproject future,anajua kwa elimu yako baada ya muda Fulani utakua juu,ila siku zikizidi kwenda af haoni matumaini akitokea mjanja anakuibia asee,unaongeza stress juu ya stress.umiza kichwa chakarika,utawakamatia tu!
 
chakarika mwanaume,usiwaze mapenzi kwanza,kwa maisha ya sasa,tena dalesalamu hii hakuna mwanamke wa kuvumilia hali hiyo,ni wachache sana tena wanaproject future,anajua kwa elimu yako baada ya muda Fulani utakua juu,ila siku zikizidi kwenda af haoni matumaini akitokea mjanja anakuibia asee,unaongeza stress juu ya stress.umiza kichwa chakarika,utawakamatia tu!

nimeipenda hii mkuu. Angalizo zuri na nimelipokea!! ahsante sana kiongozi
 
Mkuu inaonesha unasoma sana vitabu maana unatoa sana inspirational quotes..dah Mungu akusaidie upate haja ya moyo wako..siku utavuta tu BMW X5 na pembeni mtoto mkareee!! Africa Nzima..every guy's perfect dream..Over..!!!
 
Mkuu inaonesha unasoma sana vitabu maana unatoa sana inspirational quotes..dah Mungu akusaidie upate haja ya moyo wako..siku utavuta tu BMW X5 na pembeni mtoto mkareee!! Africa Nzima..every guy's perfect dream..Over..!!!

hahahahaaa mkuu Lyamber, ahsante sana kiongozi kwa dua zako izo nzuuuuuriiii. I trust God will put your kind words into reality! I'm in hope-mode. cheers...
 
Ila uko vizuri kwenye kupangilia maneno. Unaandika kwa mpango, nilipofungua thread nikajua nitakutana na graduate wa
siku hizi wanaoandika utafikiri wanaendesha baiskeli.

Well........Utapata as you wish.
 
Back
Top Bottom