Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

msione kimya niko kwenye KIKAO nitarudi tuu

Kikao gani? Cha hiyo ndoa na huyo mzungu au cha kupanga mahali..??? Lakini njuwavyo kwa jinsi hamu ya kuolewa na mzungu ilivyo kupanda mwili mzima, mahali utalipa wewe, achia mbali kwenda bureee kabisa.... SIJUI UKOJEE....!!?
 

Hela kwa mzungu, mengine (bamia) kwa mswahili, mwisho wake risasi - hela inawauma.
 
Umeona eeh! Bora tu uende kwa muzungu maana wabongo kwa gubu!
CC. Watu 8

Miye gubu nilitoe wapi...mwenye kutaka wwagagagigikoko, wadogoli, wadanganyika na apate sawasawa na kiu ya moyo wake...
ila kwangu mimi hakuna watu wenye mvuto kama waafrika wenzangu...
 
Last edited by a moderator:

kumbe unapenda dushelele kubwa eee?!ngoz nyeuc imenponza aisee ningekupm fasta2!
 
Last edited by a moderator:
Kikao gani? Cha hiyo ndoa na huyo mzungu au cha kupanga mahali..??? Lakini njuwavyo kwa jinsi hamu ya kuolewa na mzungu ilivyo kupanda mwili mzima, mahali utalipa wewe, achia mbali kwenda bureee kabisa.... SIJUI UKOJEE....!!?

hahaaaa bwana usiwe unaniambia sijui nikoje....,Kikao cha kazi bana,

wakati nikoo busy kutafuta mzungu lazima nilinde kibarua changu pia
 

mbona yule Mange Kimambi amewavumilia hivyo,na mi ntawavumilia tu
 

Wazungu wanagegegda kila mahali penye tundu....Shauri yako,...lakini nimekwambia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…