Tabash yamashta
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 271
- 210
We dada Digriii ya ndoa haipo wala ya mapenzi, hapo utakaanga ubuyo tuHabari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo verrygood, Msimbe, yaani hujakosea kabisa, maanayake kwa cheo hicho atakuwa kapoteza sifa yaani USD ,alafu anataka ajifananishe na mpya New, Dada sahau wakurembe ila ukweli sahau kupata wa degree, labda aweKwa ndoa yako unayo htaji kwa vgezo vya degree na miaka ujiandae kupokea divorce ya 2. Kwa lugha nyepesi humu kitaa MTU kama wewe anaitwa ~msimbe~ sasa leo hii msimbe anahtaji degree holder...! Sema kweli hutaki kuolewa, ila kama unahitaji please mpokee huyo kapuku anae kusumbua kila siku ambae pengne hana hata standard..... ya elimu ila anajua kukupenda tu na hawazi kukudivorce na hajui kuwa kitu kama hcho kipo ila anajua kuwa kifo tuu ndo kiwatenge.
True love kwanza dada, degree yaachie madarasa.
Alf hata ww itakuwa umepitia daraja la diploma , umeongea kitu kizuri sana.halafu suala la wivu halina elimu kabisaa na hakuna binadamu asiyekuwa na wivu
Tatizo lenu mnaanza vigezo ktk ndoa,sasa degerii ya nini ktk ndoa!!? Utachelewa sana mama!Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una degree ngapi?Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh TehAlf hata ww itakuwa umepitia daraja la diploma , umeongea kitu kizuri sana.
Good
We una degree ngapHabari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo pmHabari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app