Natamani kuolewa

Natamani kuolewa

Habari za wote humu ndani,

Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.

Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.

Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.

Karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tusio soma Kweli mnatuoneaa
 
Acha ubabaishaji wanawake wa JF. Mbona tuki PM neseji haziendi kwa nini mnazifunga?
 
Tuliokimbia shule kisa umande mnatubagua
Sanaaaaa
Kila uzi msomi wa degree
Asee tupeni nafas
Tusiosoma banah
35+ msomi halafu hana mke sijuii lakini
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Nipo single
Nina degree ya finance
33 years old
Ila sitaki kioa mama
Nataka mke niliyemzidi kuanzia 10 years.
Nimekosa sifa kwako
 
Wanawake badilikeni hakuna uhusiano kati ya elimu na ndoa cha msingi ni mtu anayejielewa na kuelewa nini maana ya mke hayo mambo mengine ni ziada, unaweza kumpata huyo mwenye degree unayemtaka na asijue maana ya mke
 
Wanawake badilikeni hakuna uhusiano kati ya elimu na ndoa cha msingi ni mtu anayejielewa na kuelewa nini maana ya mke hayo mambo mengine ni ziada, unaweza kumpata huyo mwenye degree unayemtaka na asijue maana ya mke
Mkuu ukiona mwanamke anataka mwanaume mwenye kipato au elimu ujue anatafuta ajira...
 
Degreeee inatafutwa jamani, changamkieni , mi upendo wa kweli ninao ila degree sina
 
Habari za wote humu ndani,

Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.

Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.

Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.

Karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
njoo pm tuongee vigezo na mashart huzingatiwa
 
Wee sema unataka mtu wa kukudinya kila ukihitaji ila sio ndoa kwa masharti hayo isitoshe uliikimbia ndoa tena na mtoto juu
 
Habari za wote humu ndani,

Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.

Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.

Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.

Karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nn mnapenda sana kusema awe mcha Mungu?? Mnadhani kumwona mtu ana mcha Mungu ndo kuwa na Mapenzi ya dhati kwako. Binafsi nimetokea kuamini kuwa % kubwa ya wanaosali ndo watenda dhambi kabisaa.
 
Kwenye mapenzi, Upendo wa dhati huwa hauchagui elimu, kazi, sura wala umri.. Unajikuta tuu ushapenda. Lakini kwa upande wako unachagua wa hadhi yako na hiyo ndo huwafanya wengi kukosa wenzi..

Tulia mwambie Mungu akuletee wako, huyoo wa kuchagua hivyo waweza mpata ila akawa anacheza tuu na hisia zako, akichoka ataondoka..... Kuwa makini
5GB
 
Kwa ndoa yako unayo htaji kwa vgezo vya degree na miaka ujiandae kupokea divorce ya 2. Kwa lugha nyepesi humu kitaa MTU kama wewe anaitwa ~msimbe~ sasa leo hii msimbe anahtaji degree holder...! Sema kweli hutaki kuolewa, ila kama unahitaji please mpokee huyo kapuku anae kusumbua kila siku ambae pengne hana hata standard..... ya elimu ila anajua kukupenda tu na hawazi kukudivorce na hajui kuwa kitu kama hcho kipo ila anajua kuwa kifo tuu ndo kiwatenge.

True love kwanza dada, degree yaachie madarasa.
 
Back
Top Bottom