Harald Dad
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 353
- 263
Aiiseeee nimekupenda buuuure kabisa kumbe wewe ni kichwa eeeh! Hujawahi comment pumba unatema madini weeee acha tu nikumezee mate. Ujumbe huu umfikie sakayo popote alipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye mapenzi, Upendo wa dhati huwa hauchagui elimu, kazi, sura wala umri.. Unajikuta tuu ushapenda. Lakini kwa upande wako unachagua wa hadhi yako na hiyo ndo huwafanya wengi kukosa wenzi..
Tulia mwambie Mungu akuletee wako, huyoo wa kuchagua hivyo waweza mpata ila akawa anacheza tuu na hisia zako, akichoka ataondoka..... Kuwa makini
Duuuh na ww ilikuwaje ukawa single mother?Si kwamba wote wanakuwa na matatizo,kuna sababu nyingi mojawapo ni tamaa ya pesa. Kuna madam mmoja alikuwa anapigwa na jamaa aliyeoa kisa pesa akawa amempachika na mimba kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteAiiseeee nimekupenda buuuure kabisa kumbe wewe ni kichwa eeeh! Hujawahi comment pumba unatema madini weeee acha tu nikumezee mate. Ujumbe huu umfikie sakayo popote alipo
Wewe mwenyewe una elimu gani tuanzie hapo kwanza.Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante
Ujumbe umefika mkuu
Umeoteshwa huwezi tembea uende na kurudi naye sio sababuVigezo vyote nnavyo tatizo nipo mbali
mbali kutokea wapi? nani wapi hakufikiki? mtumie tiketi aje hata kama ni bara lingine Dunia siku hizi ni kama kijiji.Vigezo vyote nnavyo tatizo nipo mbali
AsanteHongera mama Afrika
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aah budaWords of wisdom!!!
Madem ni kama mahindi choma,
Una toa lines zako mbili upatie mwingine.
atakayebaki na gunzi shauri yake
Ukweli mimi natamani kuoa lakini sijampata mwenye mapenzi ya dhatiHata mimi natamani aisee [emoji22] [emoji22] [emoji22]
Hivi nyie mnaotafutaga wapenzi humu hivi mko serious kweli????Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Twambie why ulidivorce usichukulie kirahisi siyo jepesi hilo..Kigezo cha umri kimenidisqualify ningeongeza uwe wapili...endelea kutafuta utapata,,,
Sent using Jamii Forums mobile app