Natamani kuolewa

Natamani kuolewa

Aiiseeee nimekupenda buuuure kabisa kumbe wewe ni kichwa eeeh! Hujawahi comment pumba unatema madini weeee acha tu nikumezee mate. Ujumbe huu umfikie sakayo popote alipo
 
Kwenye mapenzi, Upendo wa dhati huwa hauchagui elimu, kazi, sura wala umri.. Unajikuta tuu ushapenda. Lakini kwa upande wako unachagua wa hadhi yako na hiyo ndo huwafanya wengi kukosa wenzi..

Tulia mwambie Mungu akuletee wako, huyoo wa kuchagua hivyo waweza mpata ila akawa anacheza tuu na hisia zako, akichoka ataondoka..... Kuwa makini
 
Watakuja wenye vigezo...Maana vigezo na masharti vimezingatiwa
 
35 Degree+ Hajaoa, ni wachache sana na hata hivyo utakuta ana mpenzi la sivyo ni Padre
 
Ila Watu kutafutana wenye hadhi zinazofanana wakati mwingine huwa na changamoto na kupenda usipopataka
 
Habari za wote humu ndani,

Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.

Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.

Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.

Karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mwenyewe una elimu gani tuanzie hapo kwanza.
 
Habari za wote humu ndani,

Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.

Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.

Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.

Karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nyie mnaotafutaga wapenzi humu hivi mko serious kweli????

Ingawa najua hata wenye degree wanatofautiana akili, ila hivi ni kweli kwa mwenye akili atakubali kubeba mtu humu mkuku mkuku tu eti ukawe mke wake?

Sifikirii kama inawezekana, sana sana mtu atakudanganya ana vigezo vyote atakupiga swaga mpaka atahakikisha amefaidi chungwa lako kisha anajisepea zake.

Kazi kweli kweli! [emoji16][emoji16]
 
Aya wenye degree zenu.. Nasikia nyinyi ndo mnakuwaga na mapenzi ya dhati (35+) lkn ni kipi kilichowakimbiza hao wanaume wenzetu.. Ambacho na sisi hatutakiona
 
Back
Top Bottom