Natamani kuolewa

Cheki na ruge
 
Dini yako tafadhali maana ni muhimu ili tujue mapema....
 
hahhaha sijui kwann nimecheka
Usicheke maana tusio na degree tunanyanyapaliwa wakati suala la degree ni man made yaani leo nina certificate na kesho nitakuwa na degree hivyo mtie moyo bidada angalau hapo kwenye degree aongeze kwamba walio na nia ya kujiendeleza watakuwa considered pia ili mwaka huu niingie diploma kwa kasi
 


hahhahha ni kweli !nadhan nimecheka neno AMAZON
 
Karibu pm
 
Hello dada hbr yako,kama hujapata mtu au mume ni check inbox pls
 
AIIII sina degree me mkulima jamani sikusoma,kumbe na kwenye kuoa kuna degree?Najilaumu mimi
 
Mmmmm Yeye ndo alikuwa sababu ya break up yetu. M innocent girl MTU atakayenioa hawezi kuregret kwa kweli, because I know myself vzr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani jinsi ulivyoandika kwa unyenyekevu yaan kama navuta taswira tuko pamoja vile!! Nimekupenda buuuuure kabisa njoo pm now
 
Kumbe unatamani kuolewa.....na si kutaka kuolewa.....
Haya endelea kutamani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…