Natamani kuona Deborah Fernandez anacheza pacha na Yusuph Kagoma na sio Mzamiru

Natamani kuona Deborah Fernandez anacheza pacha na Yusuph Kagoma na sio Mzamiru

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
Kwako kocha mkuu wa Simba, msauzi Fadlu David

Natamani Sana kuona kiungo Bora mzawa Yusuf kagoma anapata muda wa kucheza Simba, kutompa nafasi ya kutosha ni kumkosea mchezaji na kipaji chake.

Mzamiru wa Nini kila siku???, Yani una option ya kagoma na okejepha alafu una opt kuanza na mzamiru kweli???

Nina mashaka na kibarua chako....anyways Acha nione mechi nyingine mbili au tatu Kama utabadilika
 
Mmesajili wachezaji 17 wapya bado mnambagulia kocha nani wa kumchezesha. Mashabiki tuna nongwa haswa

Mmesajili wachezaji 17 wapya bado mnambagulia kocha nani wa kumchezesha. Mashabiki tuna nongwa hasw
Inafahamika timu inatafuta muunganiko, sio dhambi tukaona duet ya kagoma na Fernandez ita offer kitu gani na sio kukariri
 
Camara
Kijili
Nouma
Chamou/Hamza
Che Malone
Kagoma
Okejepha
Fernandez
Messi
Awesu
Mutale

Sub: Zimbwe, Ahoua, Chasambi, Karabaka, Mukwala, Mashaka

Atakayebahatika kucheza na kosi hili atapata tabu sana.
 
Mt
Camara
Kijili
Nouma
Chamou/Hamza
Che Malone
Kagoma
Okejepha
Fernandez
Messi
Awesu
Mutale

Sub: Zimbwe, Ahoua, Chasambi, Karabaka, Mukwala, Mashaka

Atakayebahatika kucheza na kosi hili atapata tabu sana.
Mtoe Awesu hapo aingie Chasambi kwenye namba 10. Dogo yupo vizuri sana huyo ila Kocha anam underutilize.
 
Inafahamika timu inatafuta muunganiko, sio dhambi tukaona duet ya kagoma na Fernandez ita offer kitu gani na sio kukariri
Labda kocha ameshajaribu mazoezini akaona kuwa sio compatible hiyo duet. Kuna watu walitamani kuona Deborah na Okejepha kocha akaja kumuingiza kipindi cha pili binafsi niliona mabeki wa Simba wakawa wanafikiwa sana kule nyuma ila tu wachezaji wa timu pinzani kukosa utulivu.
 
Camara
Kijili
Nouma
Chamou/Hamza
Che Malone
Kagoma
Okejepha
Fernandez
Messi
Awesu
Mutale

Sub: Zimbwe, Ahoua, Chasambi, Karabaka, Mukwala, Mashaka

Atakayebahatika kucheza na kosi hili atapata tabu sana.
Mukwala ni mzuri zaidi akitokea pembeni na sio kwenye nafasi ya standing striker.....binafsi aina uchezaji wake haitofautiana Sana na Moses phiri unafanana kwa kiasi Fulani Sasa jiulize unamuacha phiri unamaajili mukwala lengo Nini??
 
Labda kocha ameshajaribu mazoezini akaona kuwa sio compatible hiyo duet. Kuna watu walitamani kuona Deborah na Okejepha kocha akaja kumuingiza kipindi cha pili binafsi niliona mabeki wa Simba wakawa wanafikiwa sana kule nyuma ila tu wachezaji wa timu pinzani kukosa utulivu.
Ndio maana nikasema ngoja tuone baada ya mechi mbili au tatu....Ila kwa haraka akikutana na timu yenye kufanya counter attack ya haraka kazi ipo.....sijui kwenye CAFCC tukikutana na al ahli tripoli ya libya
 
Mukwala ni mzuri zaidi akitokea pembeni na sio kwenye nafasi ya standing striker.....binafsi aina uchezaji wake haitofautiana Sana na Moses phiri unafanana kwa kiasi Fulani Sasa jiulize unamuacha phiri unamaajili mukwala lengo Nini??
Kama Smart911 anavyopenda kusema, tugange yajayo....

Tumeshafunga dirisha la manung'uniko, tusonge mbele.
 
Mt

Mtoe Awesu hapo aingie Chasambi kwenye namba 10. Dogo yupo vizuri sana huyo ila Kocha anam underutilize.
Hiyo ni first 11 haimaanishi hakutakuwa na sub. Sioni Chasambi akimnyang'anya namba Awesu kwa sasa ila wanaweza kupeana dakika. Madogo wote watacheza sana tu ndicho ninachoipendea Simba hii
 
Hiyo ni first 11 haimaanishi hakutakuwa na sub. Sioni Chasambi akimnyang'anya namba Awesu kwa sasa ila wanaweza kupeana dakika. Madogo wote watacheza sana tu ndicho ninachoipendea Simba hii
Hiyo ni first 11 haimaanishi hakutakuwa na sub. Sioni Chasambi akimnyang'anya namba Awesu kwa sasa ila wanaweza kupeana dakika. Madogo wote watacheza sana tu ndicho ninachoipendea Simba hii
Kuna Saleh karabaka pia...ni Mali mnoo
 
Hiyo ni first 11 haimaanishi hakutakuwa na sub. Sioni Chasambi akimnyang'anya namba Awesu kwa sasa ila wanaweza kupeana dakika. Madogo wote watacheza sana tu ndicho ninachoipendea Simba hii
Yawezekana hujamwona kwa jicho la kimichezo dogo Chasambi. Ana chenga za maudhi na ana energy ni balaa. Huyo Awesu ni mchezaji wa mechi moja moja.
 
Back
Top Bottom