Natamani kuona Deborah Fernandez anacheza pacha na Yusuph Kagoma na sio Mzamiru

Natamani kuona Deborah Fernandez anacheza pacha na Yusuph Kagoma na sio Mzamiru

Kwa Simba yetu ni ngumu kagoma kucheza wakati Mzamiru yupo fit........code&6#307€¥
 
Yule mzamiru nilitamani aachwe kabisa, aijui ni kachawi kale kajamaa.
Nitatofautiana na nyie kidogo. Mzamiru, Zimbwe na Kapombe wanatumika kwa sasa kama senior players kuweka balance katika timu kwa sababu timu ipo katika kipindi cha mpito.

Kwenye ile derby mliyokuwa mnamlalamikia Mzamiru na Kapombe, ukiweka wachezaji wote wapya unaweza kukutana na kipigo hautasahau. Derby ya Kariakoo siyo kama Medeama vs Asante Kotoko, ilibidi wawepo wachezaji wa kucheza kwa energy, spirit na tahadhari inayotakiwa na hili bado linahitajika kwa sasa. Naamini kwa jinsi ligi inavyokwenda Okejepha na Kijili wataanza kupewa dakika zaidi.

Binafsi ningependa kuona Nouma anapewa dakika zaidi na ikiwezekana aanze baadhi ya mechi. Kuna mapungufu ya Zimbwe ambayo yanafunikwa na usenior na ucaptain wake ila kama tumeamua kuleta mtu wa kumchallenge tumpe nafasi.
 
Yawezekana hujamwona kwa jicho la kimichezo dogo Chasambi. Ana chenga za maudhi na ana energy ni balaa. Huyo Awesu ni mchezaji wa mechi moja moja.
Ni kweli sijapata nafasi ya kumuangalia Chasambi vya kutoka. Najua ni mchezaji mzuri na kama nilivyosema naamini atacheza sana tu kwa hiyo atapata nafasi ya kuonyesha uwezo wake.
 
Nitatofautiana na nyie kidogo. Mzamiru, Zimbwe na Kapombe wanatumika kwa sasa kama senior players kuweka balance katika timu kwa sababu timu ipo katika kipindi cha mpito.

Kwenye ile derby mliyokuwa mnamlalamikia Mzamiru na Kapombe, ukiweka wachezaji wote wapya unaweza kukutana na kipigo hautasahau. Derby ya Kariakoo siyo kama Medeama vs Asante Kotoko, ilibidi wawepo wachezaji wa kucheza kwa energy, spirit na tahadhari inayotakiwa na hili bado linahitajika kwa sasa. Naamini kwa jinsi ligi inavyokwenda Okejepha na Kijili wataanza kupewa dakika zaidi.

Binafsi ningependa kuona Nouma anapewa dakika zaidi na ikiwezekana aanze baadhi ya mechi. Kuna mapungufu ya Zimbwe ambayo yanafunikwa na usenior na ucaptain wake ila kama tumeamua kuleta mtu wa kumchallenge tumpe nafasi.
Zimbwe ni chuma Cha reli mkuu, sioni noumer akimuweka bench hasa mechi kubwa......kweli ana mapungufu lakini nafasi yake Bado ipo Sanaa, labda kwa kapombe naona energy inashuka na makosa yamekuwa mengiii
 
Zimbwe ni chuma Cha reli mkuu, sioni noumer akimuweka bench hasa mechi kubwa......kweli ana mapungufu lakini nafasi yake Bado ipo Sanaa, labda kwa kapombe naona energy inashuka na makosa yamekuwa mengiii
Ndipo hapo tunapokosea...mchezaji haujampa nafasi mnebaki tu na habari za chuma cha reli pamoja na kwamba mapungufu yake yanaonekana.

Kwenye hili, tujenge ujasiri kama wa Yanga. Beki zao zote zipo kwenye rotation, kidogo Bacca ndiyo hapumzishwi sana maana ndiye muhimili wa ulinzi pale Yanga. Kwa Simba, anayetakiwa kucheza dakika nyingi ni Che Malone na Camara, namuona pia Fernandez akipewa role kubwa katika kikosi kama atakuwa na fitness, wengine wote wawe kwenye rotation ya aina fulani. Mchezaji akiaminishwa piga ua yeye lazima aanze inaleta shida. Hakuna sababu hilo kutokea kwa Simba hii ya sasa.
 
Camara
Kijili
Nouma
Chamou/Hamza
Che Malone
Kagoma
Okejepha
Fernandez
Messi
Awesu
Mutale

Sub: Zimbwe, Ahoua, Chasambi, Karabaka, Mukwala, Mashaka

Atakayebahatika kucheza na kosi hili atapata tabu sana.
Kipa aanze Air Manula
 
Mzamiru hapana ana poor passing anavuja sana Hali inayopelekea defensive line kuvunjika kirahisi sana hasa tukikutana na team zinazoshambulia Kwa kasi
 
Back
Top Bottom